Video: Kesi ya F. A. Mbowe na wenzake, wakili aichambua hukumu ndogo ya Jaji M. Siyani...

The Palm Tree

JF-Expert Member
Apr 13, 2013
7,951
12,535

Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....

Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!

Huyu kajitoa si kwa sababu eti ya majukumu yake mapya ya ujaji kiongozi, la hasha...!

Ni kwa sababu NAFSI YAKE IMEBEBA HATIA [guilty conscious]. Anaona giza mbele yake. Anamtumikia ibilisi shetani. Na shetani hana mzaha, atamtumikia weeeee lakini mwishoni anammaliza kwa kumchinja yeye. Ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu Kristo...!!

Hapo awali alijitahidi sana kuonekana ni mtu wa haki lakini mwizi ni mwizi tu japo atajifanya kuvaa ngozi ya mwanakondoo asiye na dhambi lakini mwisho wa siku atajionesha tu kwa ngozi yake halisi ya chui....

Hii ndiyo picha ya Jaji Mustapha Siyani ambayo mtu anaweza kuichora. Hakika, hii haina shaka yoyote kuwa huyu naye ni mshirika wa ile syndicate ya uhalifu wa kidola...

Jaji Siyani amemaliza kipande chake, anakuja Jaji mwingine miongoni mwa syndicate ileile ya waliokwisha kuapa kuwa lazima wampoteze Mbowe na CHADEMA...

Swali ni wataweza? Mpango wao huu muovu utafanikiwa?

Msikilize wakili huyu akichambua makosa ya kisheria ya hukumu ya Jaji Mustapha Siyani...
 
1634843912954.jpeg

Huyu ndiye Jaji ambaye aliamua kutotenda haki sababu ya cheo tu
 
Tupo makini tunaangalia na tunafuatilia mrejesho wetu ni baada ya kujiridhisha haki kutendeka au kutotendeka. Tuombe ustahimilivu katika Mungu. Ameen
 
Kwa hakika Mahakama ya Tanzania sio tena kimbilio la kupata haki..
Wakili ameeleza vizuri katika hiyo audio clip..hata ambaye hajui sheria anatamuelewa vema..
Lakini pale tu huyu Jaji alivyopewa Ujaji Kiongozi nilijua ndio basi tena hakuna HAKI katika hili shauri.
 
View attachment 1982004
Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....

Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!

Huyu kajitoa si kwa sababu eti ya majukumu yake mapya ya ujaji kiongozi, la hasha...!

Ni kwa sababu NAFSI YAKE IMEBEBA HATIA [guilty conscious]. Anaona giza mbele yake. Anamtumikia ibilisi shetani. Na shetani hana mzaha, atamtumikia weeeee lakini mwishoni anammaliza kwa kumchinja yeye. Ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu Kristo...!!

Hapo awali alijitahidi sana kuonekana ni mtu wa haki lakini mwizi ni mwizi tu japo atajifanya kuvaa ngozi ya mwanakondoo asiye na dhambi lakini mwisho wa siku atajionesha tu kwa ngozi yake halisi ya chui....

Hii ndiyo picha ya Jaji Mustapha Siyani ambayo mtu anaweza kuichora. Hakika, hii haina shaka yoyote kuwa huyu naye ni mshirika wa ile syndicate ya uhalifu wa kidola...

Jaji Siyani amemaliza kipande chake, anakuja Jaji mwingine miongoni mwa syndicate ileile ya waliokwisha kuapa kuwa lazima wampoteze Mbowe na CHADEMA...

Swali ni wataweza? Mpango wao huu muovu utafanikiwa?

Msikilize wakili huyu akichambua makosa ya kisheria ya hukumu ya Jaji Mustapha Siyani...
Naombeni namba ya simu ya huyu Jaji.
 
Kwa hakika Mahakama ya Tanzania sio tena kimbilio la kupata haki..
Wakili ameeleza vizuri katika hiyo audio clip..hata ambaye hajui sheria anatamuelewa vema..
Lakini pale tu huyu Jaji alivyopewa Ujaji Kiongozi nilijua ndio basi tena hakuna HAKI katika hili shauri.
Mahakama na Polisi sio tena sehemu za kupata HAKI inabidi turudi kwenye kurogana tuu.
 
Ipo siku ataikumbuka hii hukumu yake ya hovyo. Siku hizi majaji shupavu hawapo tena tuna vibaraka tu vikaragosi.
 
View attachment 1982004
Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....

Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!

Huyu kajitoa si kwa sababu eti ya majukumu yake mapya ya ujaji kiongozi, la hasha...!

Ni kwa sababu NAFSI YAKE IMEBEBA HATIA [guilty conscious]. Anaona giza mbele yake. Anamtumikia ibilisi shetani. Na shetani hana mzaha, atamtumikia weeeee lakini mwishoni anammaliza kwa kumchinja yeye. Ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu Kristo...!!

Hapo awali alijitahidi sana kuonekana ni mtu wa haki lakini mwizi ni mwizi tu japo atajifanya kuvaa ngozi ya mwanakondoo asiye na dhambi lakini mwisho wa siku atajionesha tu kwa ngozi yake halisi ya chui....

Hii ndiyo picha ya Jaji Mustapha Siyani ambayo mtu anaweza kuichora. Hakika, hii haina shaka yoyote kuwa huyu naye ni mshirika wa ile syndicate ya uhalifu wa kidola...

Jaji Siyani amemaliza kipande chake, anakuja Jaji mwingine miongoni mwa syndicate ileile ya waliokwisha kuapa kuwa lazima wampoteze Mbowe na CHADEMA...

Swali ni wataweza? Mpango wao huu muovu utafanikiwa?

Msikilize wakili huyu akichambua makosa ya kisheria ya hukumu ya Jaji Mustapha Siyani...

Adamoo kitu gani au Moses Lijenje kitu gani, kulinganisha na takrima aliyopewa anayopaswa sasa kuilipa?

Heri angejitoa bila kutoa hukumu.
 
Kuna vipofu wanaofananisha hukumu ya Sabaya na ile ya Mbowe jana, kwao kwasababu Sabaya alihukumiwa miaka 30 jela basi maamuzi ya mahakama pia yaheshimiwe kwa kesi ndogo ya Mbowe.

Wanadhani mahakama kuwa chombo cha kutoa haki kitaheshimika hata kama maamuzi watakayotoa hayatafanana na haki yenyewe, na haki sio maoni ya jaji, haki ni sheria inasema nini kuhusu jambo husika.

Vinginevyo kama kesi zote zingekuwa zinaamuliwa kwa maoni ya watu, basi kesi zote zingeishia mitaani. Watu wanatakiwa wajifunze kutofautisha ushabiki na taaluma, jambo la kitaaluma liamuliwe kwa misingi ya taaluma husika na sio maoni ya watu, au nguvu ya teuzi toka kwa wanasiasa.

Huu ushabiki wa kijinga ukiachwa uote mizizi, nina hakika mbele ya safari utamgharimu kila mmoja wetu, kwa namna moja au nyingine, Sabaya ni mhalifu mwenyewe alikiri alitumwa na mamlaka, Mbowe anafananishwa vipi na huyu mtu?
 
Ni wale ambao wanatoka kwenye ile inchi Trump aliyoiita- sh..,t ho...le mku...ndu gai country , na wao ndio wanasababisha watu kama Trump watupe hiyo label ya back side Tigo... samahanini kwa maneno hayo ya Trump na lugha iliyotumika... Huyu jaji sijui ni Muislam wa wapi na mara ya mwisho alienda hija lina. Yaani anaamua tu kesi bila kuzingatia kilicho elezwa mbele yake... Waislam na wakristo sasa anzeni kuwatenga waumini wenu wote wasio fuata mafundisho ya Mwenye Enzi Mungu ya kutoa haki kwa niaba yake... wasusiwe tu, hakuma namna...
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom