Uchaguzi 2020 VIDEO: Katibu wa BAVICHA na Wwenyekiti wa UVCCM wafikia muafaka na kupeana mikono baada ya mjadala mzito

Wewe na akili yako hujui JPM ni President aende katika mdahalo na mwendawazimu Tundu Lissu, si anaweza hata kumrukia akamg’ata na meno! Acha TL afanye mdahalo na akina membe ambao ni saizi yake. Hata Prof Lipumba siyo saizi yake huyo TL. Uwe na adabu wakati mwingine

jpm ni raisi wa nchi gani kwa huu muda mkuu??
 
Ungekuwa unamuogelea mtu mwengine ningekuelewa lkn sio huyu tunamjua vizuri anapenda sifa na kusifiwa ukimkataa LIVE kamawana KAGERA anasema kamata wanenifanyia fujo😂😂😂😂
Huyo lisu ametenda kipi cha kutolea mfano zaidi ya kutetea wahalifu mahakamani,tunataka record ndani ya chama maana ofisi ameshindwa kushauri ijengwe licha ya kupata ruzuku na michango inayofikia billion 300.
 
Huyo lisu ametenda kipi cha kutolea mfano zaidi ya kutetea wahalifu mahakamani,tunataka record ndani ya chama maana ofisi ameshindwa kushauri ijengwe licha ya kupata ruzuku na michango inayofikia billion 300.
Nachokumbuka tu ni Meko KUPIGA RAMBIRAMBI za wanaKAGERA na ndio mana wamempa makavu LIVE "HATUKUCHAGUIIII"
✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌😎
#NIYEYE2020
 
Mtu wenu mnamjua ni domozege hawezi kuongea mnahofu kuumbuka kama walivofanya wana wa kagera Live bila chenga😂😂😂


Wapendwa WanaJF, naomba kujuzwa na kuoneshwa hata kwa KIFUPI,

NI NINI KILITOKEA KAGERA?
 
Back
Top Bottom