Sawa, ndiyo mdahalo wenyewe huo, kila mtu aoneshe alichonacho.SASA HAPA SIJUI MDAHALO UTAFANYIKAJE MAANA KUNA BWANA MANENO MATUPU NA BWANA VITENDO MUBASHARA
Wewe na akili yako hujui JPM ni President aende katika mdahalo na mwendawazimu Tundu Lissu, si anaweza hata kumrukia akamg’ata na meno! Acha TL afanye mdahalo na akina membe ambao ni saizi yake. Hata Prof Lipumba siyo saizi yake huyo TL. Uwe na adabu wakati mwingine
Huyo lisu ametenda kipi cha kutolea mfano zaidi ya kutetea wahalifu mahakamani,tunataka record ndani ya chama maana ofisi ameshindwa kushauri ijengwe licha ya kupata ruzuku na michango inayofikia billion 300.Ungekuwa unamuogelea mtu mwengine ningekuelewa lkn sio huyu tunamjua vizuri anapenda sifa na kusifiwa ukimkataa LIVE kamawana KAGERA anasema kamata wanenifanyia fujo😂😂😂😂
Nachokumbuka tu ni Meko KUPIGA RAMBIRAMBI za wanaKAGERA na ndio mana wamempa makavu LIVE "HATUKUCHAGUIIII"Huyo lisu ametenda kipi cha kutolea mfano zaidi ya kutetea wahalifu mahakamani,tunataka record ndani ya chama maana ofisi ameshindwa kushauri ijengwe licha ya kupata ruzuku na michango inayofikia billion 300.
Oh, sijadiliani na watu kama wewe ambao hawajui hata kuandika sembuse kujua katiba. Pole sanajpm ni raisi wa nchi gani kwa huu muda mkuu??
Mtu wenu mnamjua ni domozege hawezi kuongea mnahofu kuumbuka kama walivofanya wana wa kagera Live bila chenga😂😂😂