Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
hivi kweli watu wanafikiria mafuta ya Pemba yatazidi utajiri wa mafuta ambao unaweza kupatikana bara? ukijumlisha na utajiri mwingine wa madini lukuki? Really?
Mzee Mwanakijiji, Tanzania hakuna sehemu watu wanapenda na kufuatilia siasa kama Zanzibar. To what level they really understand the big picture of the critical issues surrounding them including security? Hapo sijui sana, ingawa nahisi wana siasa wanataka kuwazidi maarifa watu wenye kipato na uelewa kidogo wa jinsi mambo ya Dunia hii yanavyokwenda. Kwa maneno hatuwezi kushindana na wazanzibar....ila naona sasa imefika mahala waamue kusuka au kunyoa. Naamini mbele ya safari watakuwa kama wale waliokuwa wanamlilia Musa awarudishe Misri maana walikuwa wanalikuwa wanakula nyama.
Last edited by a moderator: