Zanzibar 2020 VIDEO - KAMPENI ZANZIBAR: Tundu Lissu awapa somo muhimu Wazanzibar na Watanganyika juu ya Muungano. Je, Magufuli - CCM anaijua historia hii kweli?

Kwa sababu za ulinzi hatuwezi jitenga na Zanzibar. Sehemu ya bahari pia itakayoimiliki Zanzibar baada ya kutengana inatulazimu kuhakikisha Zanzibar ni part ya Tz. Kijografia hizi hazikupaswa kuwa nchi mbili sema ndio tayari ipo hivyo.
Ziulize kabla ya huo uvamizi wenu wa mkoloni mweusi Zanzibar ilikuwa ikisaidiwa na Tanganyika?, musitufanye wajinga Kama munavo fanywa na ccm yenu,Zanzibar ni ilikuwa ni nchi kamili na utawala wake, miaka mingi nyuma,Leo munatufanya mazuzu eti muungano kwa ajili ya usalama,pumbavu kabisa,wadanganyeni hao hao lakini sio wazanzibar.
 
Ziulize kabla ya huo uvamizi wenu wa mkoloni mweusi Zanzibar ilikuwa ikisaidiwa na Tanganyika?, musitufanye wajinga Kama munavo fanywa na ccm yenu,Zanzibar ni ilikuwa ni nchi kamili na utawala wake, miaka mingi nyuma,Leo munatufanya mazuzu eti muungano kwa ajili ya usalama,pumbavu kabisa,wadanganyeni hao hao lakini sio wazanzibar.
Tunarudi pale pale, kama ww ni mwanasiasa utakayenufaika na kutengana ni sawa endelea kupambana maana unajua utapata nn kama utafanikiwa.

Ila ww na mm tunajua kuwa watu wa Zanzibar hawajali muundo wa muungano. Kama taifa Tunaweza pigania maslahi ya watu wa Zanzibar bila kutishia muungano kwa manufaa ya nchi zote.
 
Ni sawa na kumuuliza kijana kabla ya kuondoka nyumbani na kujitegemea ulipata wapi chakula?

Hizi nchi Hazikuwa zikijitawala. Hazikujiamulia maswala yake ya ulinzi wa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwa jinsi Zanzibar, Tanzania na eneo la bahari ya nchi hizi mbili lilivyo tukitengana ni tatizo. Tunashabikia tu ila si sawa.

Na hii inathibitisha kuwa maamuzi yanayotokana na nguvu ya uma yana pande mbili. Yanaweza kuwa ya manufaa kwa uma au yakaleta matatizo baadae.

Tukiachana na wanasiasa Viongozi wa kijeshi wana kazi kubwa ya maamuzi wakati huu.

Kwani umeshajiuliza zanz kuna nn cha thamani sana sisi kutumia nguvu kubwa kuulinda muungano?
Angalau kidogo unanishawishi, huwa napata ghazabu Sana nionapo wezetu wa upande wa pili wanapoubeza muungano halafu Sisi ndiyo tunaulazimisha, lakini hivi mipaka ya hizi nchi mbili ilikuwa haifahamiki kabla ya muungano? Kama inafahamika tatizo litatokea vipi?
 
Mimi Ni CCM kindaki daki, Ila kwenye hili niwe muwazi. Nimeweka uchama pembeni, nikiwa Kama mtanzania nasema kwa dhati ya moyo wangu, Tundu Lissu hastahili kuwa Rais wetu
Ndiye rais wako 28 10 2020 vumilia tu. Tumemvumilia Magu m5 ebu apumnzike.
 
Angalau kidogo unanishawishi, huwa napata ghazabu Sana nionapo wezetu wa upande wa pili wanapoubeza muungano halafu Sisi ndiyo tunaulazimisha, lakini hivi mipaka ya hizi nchi mbili ilikuwa haifahamiki kabla ya muungano? Kama inafahamika tatizo litatokea vipi?
Kujibu swali lako ntakupa mfano mmoja mrahisi sana. Huku mtaani kuna mfanyabiashara amejenga a mole. Kubwa kidogo, sasa shida inakuja mbele yake kuna watu wana fremu ndogo ndogo walizojenga na mwenye mole alifanya kosa hakuwanunua mapema, ukifika hii sehemu unaona bonge la mjengo nyuma ya vifrem na huwezi kupita kwenda kwenye mole mpaka upite hivyo vifremu na ni Vingi. Gari inabidi uache huku kwenye fremu.

Wenye fremu wanagoma kuuza hivyo inamlazimu mwenye mole atafute namna ya kuishi nao na biashara ziendelee.

Hawezi tumia nguvu maana sheria zinawalinda wenye fremu. Ukifika hapa utamuonea huruma huyu mwenye mole maana wenye fremu hawana uwezo kifedha kuzipandisha hadhi fremu na kuuza hawataki.

Option inabaki kwa mwenye mole kufanya ushirikiano na kugharamia mazingira ya hizi fremu kuwa mazuri na kukarabati hizo fremu ili na mole iwe na muonekano na Hadhi. Pia inabidi aweke peving kote hadi kwenye haya maeneo ya fremu, ulinzi na taa za kisasa ili yasiwe maficho ya vibaka n.k. na wateja wapaki magari kwa usalama, tatu inabidi hata kama hapendi hizi fremu ziwe sehemu ya jina la mole yake maana wateja hawajali upande huu ni wa nani na ule ni wa nani wao wanataka huduma.

Ss Tz ni kama mole na Zanz ni hizi fremu, tusipokubaliana tutaishi vipi ni tatizo sio kwetu tu hata kwao. Unaweza kudhani hawana cha kupoteza ila kipo maana wananufaika na resources za bara pamoja na ulinzi wa bahari ambayo ni kubwa sana kwa resources na idadi ya nguvu kazi watu waliyo nayo.
 
Kabisa. Lissu katiririka sana kuhusu historia ya muungano na mustakabali wake. Swali linakuja kwake, je itoke aupate uraisi, atauvunja?
Kinyume chake Muungano utaimarika.
Mijadala ya wazi ndio dawa ya kushughulikia maeneo yenye ukakasi na kuleta maridhiano.
Kutumia maguvu kukandamiza hisia za wadau muhimu ndio kutaua muungano.
Wakati wa kutengeneza katiba yao ya sasa, Wazanzibari wote waliweza kuwa pamoja.
 
He is just a mental case hajui anataka nini, ndio maana anaongea uharo, ili mradi yeye aende chooni.
Huyu huyu kunasehemu anamtumia Nyerere kama ngazi ya kupandia, na kuna sehemu ana msema Nyerere kama role model wa democracy na siasa za Bongo.

Na zaidi ya hapo anazungumzia muungano kuwa sio fair kwa ZnZ hivyo ufanyiwe marekebisho, lakini huyu huyu Magufuli alipokuwa anarekebisha mikataba ya madini akawa yupo upande wa bili.

Huyu hata kwa familia yake anaweza kuwaaambia Dada zake au mtu wa jinsia ya kike hana haki kwa kinyaturu

What's your point exactly?

Don't you think that the one with mental disorder is you?

Go and see the specialist before it's too late....!
 
Kuna wakati huwa natamani kujua umri halisi wa wachangiaji? Una umri gani mkuu?

Wewe wako ni upi?...

Miaka 50, 60, 80 au 18?

Mimi nimekuuliza maswali hapo....

Sasa badala ya kujibu, wewe unaniuliza swali jingine la kijinga na irrelevant, lililo nje ya mjadala kabisa....!!

Likely wewe ni Mzee wa miaka kadhaa labda 65 au 87....

Sasa nakuambia hivi, sisi ni vijana kizazi cha kuhoji na sio kukaririshwa....!!

Jibu swali moja hili muhimu;

Kwanini kila anayejoji uhalali wa Muungano huu anapotezwa ama kuishia gerezani?

Nini kilichomo nyuma ya muungano huu kwa watawala na CCM ambacho hakipaswi kuhojiwa ila ni siri ya watawala tu?

Kama una akili timamu kweli, hebu jibu maswali hayo haraka haraka....

Ukishindwa, ni bora ukae kimya tu...
 
Sijui kama Mgombea Urais wa CCM mwaka huu ndg John Pombe Magufuli anaijua kwa ufasaha historia ya nchi anayoingoza na kuielezea mbele ya kadamnasi kama hii kwa ufasaha kama afanyavyo huyu msomi wa viwango vya juu kabisa, Mh. Rais wa JMT ndugu Tundu Lissu.....

Ni wazi kuwa Bw. John Pombe Magufuli anachojua ni kukariri statement za kimazoea tu za waliomtangulia za kusema;

" .....nitaulinda muungano kwa gharama yoyote ile...."

Hebu tumshauri huyu msomi bandia wa udaktari wa korosho na kemia wa kupewa ajifunze historia ili kila analofanya awe anajua maana yake.....

Na kumwambia hivi, kamwe siyo dhambi wala kumkosea heshima hata kidogo...

Tazama, sikiliza na kisha elewa.... 👇
View attachment 1562723
Mwaka huu aseh tutajua mengi san kuhusu siasa
 
What's your point exactly?

Don't you think that the one with mental disorder is you?

Go and see the specialist before it's too late....!
😁😁😁😁😁😁😀😀😀😀😀 take your brother for treatment, please , maana anaharisha harisha uharo all over
 
Mimi sio mwanasheria "Ni yeye" ni mwanasheria nguli. Anajua kuwa Kati ya mambo ambayo ni very sensitive ni pamoja na suala la Muungano.

Hivi akiambiwa athibitishe kuwa "Hayati Karume alilazimishwa kusaini hati ya Muungano, atathibitisha"?.


"Very sensitive" ki vipi?

FAFANUA.
 
Back
Top Bottom