Mtu anaolewa anafundwa na Mashangingi badala ya kufundwa na viongozi wa dini kwa mafundisho ya Mungu,au na wanandoa wenye ndoa zenye ushuhuda,...hawa Mashangingi wanadhani ndoa ni kukata viuno tu..
haya mafunzo bwana....sio kitchen party zote za maana
kuna siku niliondoka kwenye kitchenparty kabla ya kwisha maana nilihisi itaishia kwa watu kuanza kusagana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.