VIDEO: Jinsi ya kuitumia JamiiForums (Wageni na Wanachama)

Status
Not open for further replies.
Samahani kwa anayeweza kunisaidia namna ya kufuta ujumbe au mada uliyochangia na namna gani ya kuiedit anisaidie tafadhali.
 
Iv nikitaka kufuta thread nazifutaje,Mwenye kujua anielekeze
 
Samahani kwa anayeweza kunisaidia namna ya kufuta ujumbe au mada uliyochangia na namna gani ya kuiedit anisaidie tafadhali.
Binya kwenye cm screen kwa nguvu juu kulia utaona spana ina kimkato kama kinyundo ibonyeze itakuletea maelezo edit/delete hapo chagua wewe ufanye nini
 
Status
Not open for further replies.
34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom