Situmii app Niki attach kawaida inagomaKama unatumia app, angalia kuna sehemu ina box lenye alama ya kujumlisha 'Photos, Files' fanya kubofya hapo halafu unaweza kuendelea na mchakato mzima.
Samahani mkuu wapi nimetukana nilikuwa nakueleza hali halisi na tabia za mitandao ya kisasaMatusi ya nini mkuu
Hello Member
Nashindwa kutumia huu mtandao na kujibu messages za watu.
Naomba kufundishwa na jinsi ya ku koleza maneno na kuyabadirisha yawe ya rangi na kumtaja mtu.
Nitashukuru sana
Naunga mkono hojaKaribu JeiefuThe Clinic
www.jamiiforums.com
P
Sasa mkuu hapo umemsaidiaje wakati hata hii link haifunguki? Huoni hujamfanyia vizuri huyu member mpya!? Amesema hawezi hata kujibu watu humu sembuse link ambayo hata haifunguki?😬😇Karibu JeiefuThe Clinic
www.jamiiforums.com
P
Karibu JeiefuThe Clinic
www.jamiiforums.com
P
ww hyo yako n ya zaman...njoo nkupe mpyaKuna mpya na ya zamani