FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,845
- 40,432
- Thread starter
- #61
Kwa ulivyoitazama hivyo video, wamefurahianau hawakufurahia Corona kuingia Africa?Chuki ni mbaya SOMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ulivyoitazama hivyo video, wamefurahianau hawakufurahia Corona kuingia Africa?Chuki ni mbaya SOMA
JK Nyerere aliwahi sema ''ukisha onja nyama ya mtu, huachi utaendelea kuila tu'' Global economyKwa ulivyoitazama hivyo video, wamefurahianau hawakufurahia Corona kuingia Africa?
Mkuu jamaa anafurahia kimoyomoyo eti wazungu watatoa Gloves na Masks bure! akaringishie kijijini, Eti ni Madaha ya mjini Darisalame! any way Wazungu wakizidi kuugua ugonjwa, Waafrica wanakufa kwa njaa!Wewe kila mara unakuja na mada za kuonyesha wazungu ni wabaya. Ongoza waafrika nao waendelee kama wazungu basi ili huu utofauti na ''uonevu'' uishe. Otherwise huna tofauti na yule mlevi anayelewa mpaka kujinyea na anaposafishwa anatukana.
Yaani kuwa na Hela ni roho mbaya? Af wewe?!!Wana Roho mbaya tu, si unajua Fid q aliwahi kuimba “unaumia we unakohoa mi sikohoi...” hahahahhaha
Jibu hoja, hiyo anzishia uzi na uelezee uelewekeJK Nyerere aliwahi sema ''ukisha onja nyama ya mtu, huachi utaendelea kuila tu'' Global economy
Kufurahia Corona kuingia nyumbani kwa mwenzako ni roho nzuri, sawa hata mimi nakubaliYaani kuwa na Hela ni roho mbaya? Af wewe?!!
Na waliomkejeli Lowassa kuhusu hilo la ugonjwa karibu wote tushawazika, na wewe endelea