Traveller X JF-Expert Member May 2, 2017 271 305 Dec 3, 2017 #1 Wadau nimeona niwaletee hii tusafishe macho kidogo, Swali langu ni je! mzee wetu bakhresa huwa anatumia mashine kama hizi kututengenezea zile lamba lamba zetu?? Source: My youtube Chanel >>watafak
Wadau nimeona niwaletee hii tusafishe macho kidogo, Swali langu ni je! mzee wetu bakhresa huwa anatumia mashine kama hizi kututengenezea zile lamba lamba zetu?? Source: My youtube Chanel >>watafak
Ze Heby JF-Expert Member Jun 22, 2011 5,237 5,293 Dec 3, 2017 #3 Itakua hujawahi ingia kiwanda chochote katika maisha yako Mbona process za kawaida tu hizo hata viwanda vidogo viko vina automated fillers
Itakua hujawahi ingia kiwanda chochote katika maisha yako Mbona process za kawaida tu hizo hata viwanda vidogo viko vina automated fillers
Jambazi JF-Expert Member Jan 18, 2014 16,642 18,639 Dec 3, 2017 #4 Umenikumbusha ice cream ya maziwa ngoja nifanye mchakato....
py thon JF-Expert Member Sep 11, 2016 2,471 4,424 Dec 3, 2017 #5 Hebu nenda kiwandani ukafanye research na utashuhudia na kupata majibu kwa naked eyes Nauli yako 400 au 500 tu Sasa sisi tutajuaje
Hebu nenda kiwandani ukafanye research na utashuhudia na kupata majibu kwa naked eyes Nauli yako 400 au 500 tu Sasa sisi tutajuaje
Auz JF-Expert Member Apr 6, 2016 13,136 10,861 Dec 3, 2017 #6 Ubunifu wa hali ya juu, unaowezesha uzalishaji mwingi kwa muda mfupi. Elimu yetu itukomboe nasi tubuni na kutengeneza mitambo kama hii kwenye kilimo.
Ubunifu wa hali ya juu, unaowezesha uzalishaji mwingi kwa muda mfupi. Elimu yetu itukomboe nasi tubuni na kutengeneza mitambo kama hii kwenye kilimo.