..yah wengine hutumia pingu ktk tendo la ndoa.
..hata mikwaju na mijeledi hutumika ktk tendo la ndoa.
..ila hiyo bastola aliyokutwa nayo, mhhhh!!
Hivi Jerry Muro ni nani?
katika hii video kuna mambo ambayo ningependa kujua kwa undani
1.Jerry Muro anasema Kova is very minor person;siyo jeshi la POLISI.
Msaada jamani...How old Is Jerry Murro?
late 20's
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=naM5bR4DmOU&feature=player_embedded[/ame]Pape senksi kwa hiyo, part II vipi? Mi nadhani jipu ndo kwanza linaanza kuweka usaa kitu bado kabisa. Jerry naye anaonekana kupanic na kuzungumza maneno makali kwa mfano ''Kova ni mtu mdogo sana katika jamii'' duh ndo maana nasema kitu ndo kwanza kimeiva hiki
Anaconfidence sana ila lazima ajue kucheza na maadui zake! vinginevyo he will be Looking Down The Barrel of A Gun!
Huyo dogo wanamtime tu, either that au anahitaji kupewa kazi Hollywood.
Halafu hiyo pingu ni non issue. Ningependa kujua amesemaje kuhusu hiyo ya bunduki.
Nanukuu
'Kuhusu Bastola ambayo inamilikiwa na Jerry Murro Afande Kova amesema silaha hiyo imetengenezwa nchini Chec. Republic ni SZ 97 B NO A 6466 inayobeba risasi 10 anaimiliki kihalali kabisa, ina vibali vyote na alipewa kwa ajili ya kujilinda na maadui zake kutokana na kazi zake za habari za uchunguzi, Isipokuwa pingu ambazo hakuna raia ambaye anaruhusiwa kumiliki kisheria
Ameongeza kwamba Kesi hiyo wataipeleka kwa mwanasheria wa Serikali ili aone kama kuna kesi ya kujibu na kuipeleka mahakamani ili haki itendeke kwa kila upande na kama itakuwa vinginevyo watamuita bwana Maiko Calos ambaye ni mlalamikaji na kumwambia yaliyojiri kutoka kwa mwanasheria wa Serikali'
good point bwamdogo ana confidence kali sana,lakini ajiangalie asije kukalia kuti kavu,na ujana mwingi sana naona,mahali ambapo jamaa watatake advantage,shauri yake nafuata popcorn narudi.Baadhi ya maneno ya huyu bwana Muro yanaonyesha kuanza kulewa sifa. Kazi aliyoifanya mpaka sasa ni nzuri na muhimu sana kiasi cha kwamba ujinga kama huu na kebehi dhidi ya Kamanda Kova vinaweza kuharibu harakati zake na nyingine zinazohusiana.
Ushauri wa bure ni kwamba ndugu Muro apunguze munkari, ajifunze kutafakari, kuchagua na kupanga maneno yake hususani pale anapokuwa anaongelea watu ambao kwa mujibu wa sheria wana haki ya kufanya walichofanya mpaka sasa hivi.
Heshima mbele