sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,129
Sure
Mkuu
Kwahiyo hiyo idadi ya vifo inaweza kuwa si sahihi. Means ni wengi zaid?
Mkuu
Kwahiyo hiyo idadi ya vifo inaweza kuwa si sahihi. Means ni wengi zaid?
una uhakika gani? Ulikuwa karibu moto ulipoanza? Anyways hata hilo la mama Ntilie bado ni ubashiri. Kama nilivyosema petrol hushika moto haraka sana. Hata spark ya pikipiki inaweza kuwa chanzo. Ni vigumu kujua hasa kilichotokea kwani wengi ya waliokuwa kwenye kianzio cha moto walifariki.Hilo eneo mimi nalijua sana.
Trust me. Moto haukutoka kwa mama ntilie.
Halafu kuna good number of victims unaccounted for. Wengine waligeuzwa majivu yasiyoweza toa DNA, they were incinerated to ashes by the inferno. Too bad
Mbona yupo vizur tu kuna watu walikuwa wanaungua huku wanakimbia so mtu alisogelea mafuta na ana moto mwilini na ni kweli nlishuhudia watu wakikimbia na motoSure.
Kuna sehemu dogo kaongea yasiyoeleweka.
Eti kuna mtu alikuwa anaungua halafu akapitiliza hadi ile sehemu aliyotunza mafuta chini ya mti halafu yakalipuka na kuunguza mti. Hiyo narration doesn't make sense.
Isitoshe, mashuhuda wengine wanadai moto ulisababishwa na aliyechomoa battery na haukuanzia kwa mama ntilie.
Mbona yupo vizur tu kuna watu walikuwa wanaungua huku wanakimbia so mtu alisogelea mafuta na ana moto mwilini na ni kweli nlishuhudia watu wakikimbia na motoSure.
Kuna sehemu dogo kaongea yasiyoeleweka.
Eti kuna mtu alikuwa anaungua halafu akapitiliza hadi ile sehemu aliyotunza mafuta chini ya mti halafu yakalipuka na kuunguza mti. Hiyo narration doesn't make sense.
Isitoshe, mashuhuda wengine wanadai moto ulisababishwa na aliyechomoa battery na haukuanzia kwa mama ntilie.
haya kweli maaajabu ya eneo la tukio.Mkuu viganja vingine hatukujua vimetoka kwa watu gani, maana miili mingi iliyoopolewa pale ilikuwa na viganja isipokuwa hivyo tulivyoookota maana yake watu wengine 63 hawakujulikana wapo wapi..hao wenye viganja.
hili janga halijaiacha familia yetu,leo tumempumzisha ndugu yetu ktk nyumba yake ya milele.Pumzika kwa amani Feddy
Umekufa ungali mtoto mdogo na ndoto zako zimezimika kama mshumaa
asante sana mkuuPole sana mkuu
Alikuwa anatoka safarini na baba yake,na baada ya kufika eneo la tukio waliegesha gari pembeni wakaenda kuangalia nini kinaendelea kwenye ule mkusanyiko,baba alikuwa mbali kidogo lkn mtoto alisogea kabisa mpk kwenye kundi la watu na ghafla mlipuko ukatokea..Baba alikuwa salama kbs lkn mtoto alikuwa mmoja wa mahututi waliofia Muhimbili.Ni kijana wa miaka 15Poleni sana, alikuwa mpita njia au na yeye alikuwa anajaribu"kujipatia riziki"?
poleni sana