jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Mimi napiga vyombo lakini sijawahi kunywa vyombo vya Serengeti/SBL,lakini vyombo vya TBL hata nikikuta chura ndani ya Chupa,chura anakuwa kitafunio/kaa kimya mtoto wa Mama/kula kulala hujui hata bei ya bear,mpaka uvizie baba yako akienda kukojoa ndipo uvizie alioiachia kwenye gras.
Ukweli ni kwamba wewe ni mpumbavu.