Video ikionyesha bia ya kampuni ya TBL yenye uchafu ndani

Mimi napiga vyombo lakini sijawahi kunywa vyombo vya Serengeti/SBL,lakini vyombo vya TBL hata nikikuta chura ndani ya Chupa,chura anakuwa kitafunio/kaa kimya mtoto wa Mama/kula kulala hujui hata bei ya bear,mpaka uvizie baba yako akienda kukojoa ndipo uvizie alioiachia kwenye gras.



Ukweli ni kwamba wewe ni mpumbavu.
 
Back
Top Bottom