radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Nasimama na Israel taifa teule la Mungu
Porojo hizi
Nasimama na Israel taifa teule la Mungu
Wewe na nani?Tuko tayari kufa kwa ajili ya wayahudi na taifa takatifu teule la Israel. Hilo halipingiki na halikwepeki. Bora kusimama na kubaguliwa na Israel watu wa Mungu wa kweli utapata baraka. Kuliko kusimama na usibaguliwe na nchi na jamii UCHWARA!
God bless and protect Israel.
Huniambii kitu kuhusu Yesu na Israel.
JESUS and ISRAEL forever!
Unaandika haya ukiwa jordan au bethlehemu?Tuko tayari kufa kwa ajili ya wayahudi na taifa takatifu teule la Israel. Hilo halipingiki na halikwepeki. Bora kusimama na kubaguliwa na Israel watu wa Mungu wa kweli utapata baraka. Kuliko kusimama na usibaguliwe na nchi na jamii UCHWARA!
Unamaanisha nini mkuuInajidhihirisha Israel ni moto tena moto wa kuotea mbali.
Kamooonnn
Akili kichwani hakuna Cha taifa la Mungu Wala nn ni Kama mzazi kuwabagua watoto wake Yani kwann Israel iwe taifa la Mungu haya mataifa mengine je??
Kwani wewe post hii inakuhusuje??.Kuna mijitu mipumbavu sana Afrika hii
Mambo ya waarabu na wayahudi yanawahusuje
Huu ni mtizamo wako ama wa watu wengi??.Tuko tayari kufa kwa ajili ya wayahudi na taifa takatifu teule la Israel. Hilo halipingiki na halikwepeki. Bora kusimama na kubaguliwa na Israel watu wa Mungu wa kweli utapata baraka. Kuliko kusimama na usibaguliwe na nchi na jamii UCHWARA!
Ni mtazamo wa watu wote dunianiHuu ni mtizamo wako ama wa watu wengi??.
Kha!kha! khaa!!!,Umetumia njia gani kujua kuwa watu wote duniani wana mtazamo huo??.Ni mtazamo wa watu wote duniani
Lakini unajua takribani asilimia 70 za waisraeli ni wayahudi na hawautambui ukristo na wanamchukulia yesu kama mtu aliyekuja kuvuruga mipango yao ya kutawala na hawampendi kabisaa??? Na hawaitambui biblia kabisa na kitabu chao kinaitwa TalmudNasimama na Israel taifa teule la Mungu
Hiyo Haijalishi mkuu kikubwa ni mibaraka baas!Lakini unajua takribani asilimia 70 za waisraeli ni wayahudi na hawautambui ukristo na wanamchukulia yesu kama mtu aliyekuja kuvuruga mipango yao ya kutawala na hawampendi kabisaa??? Na hawaitambui biblia kabisa na kitabu chao kinaitwa Talmud
Inakuwaje wanajamvi!
Mkiambiwa Israel ni taifa teule takatifu la Mungu wa kweli mnabisha. Hii Video inasambaa kwa kasi sana kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha raia wa Iran akichoma moto bendera takatifu ya taifa teule la Israel na badala yake bendera ikamchoma moto mwenyewe.
Mungu mwenyewe kasema ukiibariki Israel utabarikiwa. Ukiilaani utalaaniwa.
Mi nauliza na Tanzania ni taifa la nani?Nasimama na Israel taifa teule la Mungu
Wewe nakufananisha na mtu fulani aliwahi kumpenda Mwanamke kupita kiasi,na mwanamke huyo ukimuuliza anasema uampendiml mtu huyo,mpaka akapewa jina "Majnuni Layla"Hiyo Haijalishi mkuu kikubwa ni mibaraka baas!
JESUS and ISRAEL First and Forever!
Huniambii kitu kuhusu YESU na Israel!
Huo uteule wa Mungu kwa Israel ulimsikia lini Mungu akifanya huo uteuzi?Inakuwaje wanajamvi!
Mkiambiwa Israel ni taifa teule takatifu la Mungu wa kweli mnabisha. Hii Video inasambaa kwa kasi sana kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha raia wa Iran akichoma moto bendera takatifu ya taifa teule la Israel na badala yake bendera ikamchoma moto mwenyewe.
Mungu mwenyewe kasema ukiibariki Israel utabarikiwa. Ukiilaani utalaaniwa.
Yaan unabaguliwa kwako..unaitwa nyani..unanyimwaa haki zako..alaf ww unashabikia wao..ngozi nyeusi ni species ya ajab kuwah kutokea dunian..ni watu waliolaaniwaa moja kwa mojaa..shenzi kabisaaa..haswaa kama hawa wanaoshabikia wayahudi uchwara na waarabu..shenzi kabisaa watu kama hawaaa..Acha tu... Eti muafrika unasimama na Israel wakati wao wanabagua Waisrael wenye asili ya Afrika. Wako mitaani kule hawana pa kuishi kwa kutengwa.
Sasa unamlilia nani, kama Unataka kufa nendaTuko tayari kufa kwa ajili ya wayahudi na taifa takatifu teule la Israel. Hilo halipingiki na halikwepeki. Bora kusimama na kubaguliwa na Israel watu wa Mungu wa kweli utapata baraka. Kuliko kusimama na usibaguliwe na nchi na jamii UCHWARA!
Hivi unajua kuwa ukikusanya idadi uislam na ukristo nchini Israel haufiki hata asilimia 50? Dini inayotawala Israel ni Uyahudi (wayahudi) vipi nawewe ni myahudi?Siyo Mungu tu bali Mungu wa kweli.