Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,823
- 33,207
Kwanini mtu achukue maneno akayapeleke kwanini nisiende mwenyewe nikasemeCCM ndiyo inataka kutupelekea wabunge wa dizaini hii halafu, weupe na wasio na uelewa na ufahamu wa namna serikali inavyofanya kazi.
Gwajima anataka kuwaaminisha wananchi kuwa utofauti wa bei ya sukari unasababishwa na mbunge kutosema.
Kwa usomi wake na exposure aliyonayo kila mtu alitegemea amwambie mwananchi huyu moja kwa moja kuwa, hali hiyo inasababishwa na ubovu ama udhaifu wa SERA na MIPANGO ya hovyo ya KIUCHUMI/BIASHARA ya serikali ya CCM.
Lakini Gwajima kwa kutojua ama kwa makusudi kabisa naona ameamua naye kujiunga na "timu unafiki, uovu na uongo" ya maCCM na kuwa mnafiki na mwongo kama hao aliojiunga nao walivyo waongo.
Sasa ona jinsi mzee huyu anavyomuabisha hapa.