Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 26,982
- 38,735
Aaah wapi tumewadaka na kuwaua sana pale ruvu kwenye mashamba ya mpungaUnawajua mamba au unawaskia tu, hata awe mdogo kama mjusi bado atakutoa jasho tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi tumewadaka na kuwaua sana pale ruvu kwenye mashamba ya mpungaUnawajua mamba au unawaskia tu, hata awe mdogo kama mjusi bado atakutoa jasho tu
Mamba ukimuwahi akiwa hajafungua mdomo wake ukaubana hana ujanja.Sio movie mzee ni kweli kabisa
Wadau nauliza hili kwa maana nimeona hii video ikimuonyesha jamaa wa huko cambodia akipambana na kumkamata mamba bila tatizo lolote, yani kama vile anakamata kuku, Hii kweli inawezekana au wanakua wamechanjia kidogo???
Wanaume Wa DSM utawaju tu. Maana mnaogopa hata buibui na mijusi...Unawajua mamba au unawaskia tu, hata awe mdogo kama mjusi bado atakutoa jasho tu
Haha mkuu mlikua mnadaka mijusi nyieAaah wapi tumewadaka na kuwaua sana pale ruvu kwenye mashamba ya mpunga
Kote kote tu mamba ana nguvu...Mamba akiwa kwenye maji anakuwa na nguvu sana kuliko nchi kavu.
Kwetu mwisho wa reli, mamba yake maji inji kavu wapo watuNguvu ya mamba kumai kumchanga ni kuburula
Hapo nimekuelewa mkuuMamba ukimuwahi akiwa hajafungua mdomo wake ukaubana hana ujanja.
Muscles za taya ya mamba zina nguvu wakati wa kufunga mdomo hapo anaweza vunja mifupa lakini hazina nguvu sana wakati wa kufungua mdomo.
Siyo kweliKote kote tu mamba ana nguvu...