The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Hawa ndiyo "vijana wa kazi"wa Mwendazake Magufuli...
Waliitumikia LEO kwa kuvunja sheria na maadili ya Utumishi kwa kunyanyasa wanaowaongoza (wananchi) kwa sababu wana madaraka na kusahau kabisa kuwa kuna KESHO...
Walitegemea KULINDWA NA MTU badala ya matendo yao ya HAKI..
Katika video hii (kwa hisani ya LEO TV & Malisa GJ) ni mkusanyiko wa matukio mabaya na maovu aliyoyatenda huyu aliyekuwa DC wa HAI, Ole Sabaya...
Yote haya aliyafanya kwa kutumia vibaya madaraka (abuse of power) yake ya u - DC kufanya ujambazi wa kidola kuiba na kutesa na kuumiza mahasimu wa kisiasa wa CCM na hasa Hayati Rais Magufuli huku akitamba kuwa ameagizwa na huyo aliyekuwa Rais...
Swali: Kama haya ni kweli, huyu mtu atawezaje kuiepuka jela..? Funzo kwa viongozi mliopo sasa. Tumieni mamlaka zenu vizuri. Don't abuse your power and authority. Kumbukeni CHEO NI DHAMANA TU, sio chako...
Waliitumikia LEO kwa kuvunja sheria na maadili ya Utumishi kwa kunyanyasa wanaowaongoza (wananchi) kwa sababu wana madaraka na kusahau kabisa kuwa kuna KESHO...
Walitegemea KULINDWA NA MTU badala ya matendo yao ya HAKI..
Katika video hii (kwa hisani ya LEO TV & Malisa GJ) ni mkusanyiko wa matukio mabaya na maovu aliyoyatenda huyu aliyekuwa DC wa HAI, Ole Sabaya...
Yote haya aliyafanya kwa kutumia vibaya madaraka (abuse of power) yake ya u - DC kufanya ujambazi wa kidola kuiba na kutesa na kuumiza mahasimu wa kisiasa wa CCM na hasa Hayati Rais Magufuli huku akitamba kuwa ameagizwa na huyo aliyekuwa Rais...
Swali: Kama haya ni kweli, huyu mtu atawezaje kuiepuka jela..? Funzo kwa viongozi mliopo sasa. Tumieni mamlaka zenu vizuri. Don't abuse your power and authority. Kumbukeni CHEO NI DHAMANA TU, sio chako...