Mijitu kutwa kujisifia kwenye mitandao jinsi kwao wana lishe bora.....taarifa kama hizi zinatia huruma
Imagine! Halafu mijitu inatutambia humu vile huwa inazalisha chakula kingi hadi inalisha wakenya.Duh! Kinyesi cha mbuzi?? Inatia huzuni hii 😑😑
Sasa hapa hutawaona! Ulisahau kutag kadoda1 na Redeemer pia.Imagine! Halafu mijitu inatutambia humu vile huwa inazalisha chakula kingi hadi inalisha wakenya.
Mijitu kutwa kujisifia kwenye mitandao jinsi kwao wana lishe bora.....taarifa kama hizi zinatia huruma
Lol...😂 that repulsive cannibal (the former)was busy slaughtering children today! I heard that they consume albino meat to improve libido! A very wicked society!
Familia moja tena siajabu usiyo na wazazi ikiwa haina chakula inamaana tz ndo kuna njaa?Kuna matukio mengi ya kiajabu hutendeka kwa hawa wenzetu, sema media zao huwa kimya, hamna moto kama media za Kenya.
Sasa unabisha nini? Kama chakula kingi tz mbona basi hawa watoto wale kinyesi? Hamna majirani? Chifu? Social workers?Familia moja tena siajabu usiyo na wazazi ikiwa haina chakula inamaana tz ndo kuna njaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Majirani wafanyaje kama hawana taarifa?Sasa unabisha nini? Kama chakula kingi tz mbona basi hawa watoto wale kinyesi? Hamna majirani? Chifu? Social workers?
Unataka sema ilipita majirani ikafikia vyombo vya habari? 🤔🤔Kweli wewe ni "much know"