Mr Devil JF-Expert Member Jul 7, 2019 10,029 21,577 Mar 25, 2021 #22 Tuazime alibadiri kwa wavaa mitandio tumuwajibishe huyu
Countrywide JF-Expert Member Mar 2, 2015 18,174 27,208 Mar 25, 2021 #23 Uzuri kwa wakristo hakuna ambae anampigania Mungu kwa kudhuru wengine. Huyo ataachwe Mungu ndio atajua jinsi ya kumhukumu. Hutaona mapadre Wala maaskofu wanazungumzia hilo suala. Ingekuwa upande wa pili Hadi Sasa kungekuwa na matamko 1000
Uzuri kwa wakristo hakuna ambae anampigania Mungu kwa kudhuru wengine. Huyo ataachwe Mungu ndio atajua jinsi ya kumhukumu. Hutaona mapadre Wala maaskofu wanazungumzia hilo suala. Ingekuwa upande wa pili Hadi Sasa kungekuwa na matamko 1000
Ituzaingo Argentina JF-Expert Member Jun 20, 2020 1,870 2,176 Mar 26, 2021 #24 sanalii said: Kua na adabu kijana, tena uwe na heshina, ukisoma biblia ndo utajua hekima na busara zinazopatikana mule, usirudie Click to expand... Samahani mkuu kwa kukukwaza.
sanalii said: Kua na adabu kijana, tena uwe na heshina, ukisoma biblia ndo utajua hekima na busara zinazopatikana mule, usirudie Click to expand... Samahani mkuu kwa kukukwaza.