Baada ya zito kuwachokonoa hatimaye wale wabunge wa CCM maarufu kwa jina la "makasuku" leo kwa umoja wao wakiongozwa na "Kibajaji" wamejitokeza kumjibu Zito...kumbuka katika "press" yake ya juzi,Zito alisema sio wote wabunge wa CCM kwamba ni Makasuku ..tunashukuru leo wamejitokeza angalau hata sie tuliokuwa tunawafahamu wachache tumeweza kuwaona wengine...