Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mengine mpaka aibu sasa siwachukue kadi za ccm tu kijulikane.
Surekila mwenye akili anawadharau!!
Maskini Augustine Lyatonga Mrema. Akili zake zimeanza kuleta mushkeli.Mwenyekiti wa TLP Ndg. Augustine Lyatonga Mrema amethibitisha kwamba miezi miwili iliyopita Halmashauri kuu ya Chama hicho(TLP) ilikutana Na kumchagua/ Kumpitisha Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI kua MGOMBEA wao wa URAIS mwaka 2020 kupitia Chama chao cha Tanzania Labour Part (TLP).
View attachment 1161805
Kuna haja ya kupima akili ya Mrema hata kwa kutumia nguvu , afungwe kamba akimbizwe Muhimbili haraka sana
nilikua nasikia kuna binti analala na mbowe segerea kumbe ndio wewe.hongeraUwe na heshima binti, Mbowe alikuwa anakula chakula kizuri na analala pazuri akiwa gerezani hii yote ilikuwa juhudi za Mrema!
Hicho Eti Nacho Chama Cha SiasaMambo mengine mpaka aibu sasa siwachukue kadi za ccm tu kijulikane.
Ruzuku tuu ndio zinawafanya wajiite TLP lakini wote ni CCMMambo mengine mpaka aibu sasa siwachukue kadi za ccm tu kijulikane.