Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Huu ni ujinga wa kiwango cha SGR!!!
Uwe na heshima binti, Mbowe alikuwa anakula chakula kizuri na analala pazuri akiwa gerezani hii yote ilikuwa juhudi za Mrema!
😆😆😆😆Huu ni ujinga wa kiwango cha SGR!!!
Ha haaa! Kumbuka mda wake wa uenyekiti wa bodi ya Parole umekwisha... Atakuwa anastua stua ili akumbukwe kwenye ngwe ya pili baada ya yeye 'kumuongezea' mheshimiwa ngwe nyingine... Kumbuka principle of reciprocity!Huyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
Huyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
Nimecheka sana hadi machozi yamenitoka!!Kuna haja ya kupima akili ya Mrema hata kwa kutumia nguvu , afungwe kamba akimbizwe Muhimbili haraka sana
Mambo haya yapo hadi Ulaya na Marekani, kumuunfa mkono Kiongozi wa juu pale anapoonesha kuwa ni bora na anahitajika. Mbona huyo Mbowe wako hujamtaka kuondoka ? Yeye ni Sultan ?Mambo mengine mpaka aibu sasa siwachukue kadi za ccm tu kijulikane.
Kumbuka aliukosa Urais kidogo tu!!Kuna haja ya kupima akili ya Mrema hata kwa kutumia nguvu , afungwe kamba akimbizwe Muhimbili haraka sana
Demo-krasiaHuyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
Ivi hiki chama kinawanachama wangapi aisee? Kama c mrema peke akeHuyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.