Kweli kabisa. Wamefikiria hilo wakaona hawana mgombea na wapinzani wengine hawana wagombea na mwaka huu hakuna makapi toka ccm.Yuko sawa ,sasa unategemea TLP watamsimamisha nani?
Hivi ndio vyama vinavyopendwa sana na Mutungi
Uteuzi wake wa Wenyekiti was Parole umeisha anatafuta kuteuliwa tena. Huyo nae siku hizi ni PhD akili yake kama walewale.Kuna haja ya kupima akili ya Mrema hata kwa kutumia nguvu , afungwe kamba akimbizwe Muhimbili haraka sana
na kwa video hii nakuhakikishia anaukwaa tena , hawa ndio wanaopendwa sana awamu hiiUteuzi wake wa Wenyekiti was Parole umeisha anatafuta kuteuliwa tena. Huyo nae siku hizi ni PhD akili yake kama walewale.
😥😥😥😥😥Ile itqaf aliyosomewa wakati wa sakata la Mwembechai ndiyo sasa inaanza kufanya kazi.
Misukosuko ni mingi mpaka kufukia uchumi wa kati na Tanzania ya viwandaHuyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
Nimepiga picha wewe na watu kadhaa mnamlazimisha mrema kwenda hospital kupima akili na hataki.
Kwani NCCR na UKAWA kwa ujumla wao walipompitisha mgombea wa Chadema Lowassa 2015 walichukua kadi za Chadema? Acha utoto kama wa Kinana na Makamba mkuu!!Mambo mengine mpaka aibu sasa siwachukue kadi za ccm tu kijulikane.