Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,986
- 144,313
Poleni MATAGA!!!
Sasa hapo ndio unaona kipi kipya au Cha ajabu
Kama kuwanunulia ulanzi muache awanunulie tena .. kama 2015alishinda kwa njiaa hiyo..Mkuu ukiwanunulia wahuni ulanzi ukawaambia piga kelele ndio umeshinda Uchaguzi ?
Kama kuwanunulia ulanzi muache awanunulie tena .. kama 2015alishinda kwa njiaa hiyo..
Imepenya hiyo.
Kama ndugai anavyowanunulia ulanzi kule jimboni kwake then wanampa kura.Mkuu ukiwanunulia wahuni ulanzi ukawaambia piga kelele ndio umeshinda Uchaguzi ?
Wanaweweseka wanajitekenya na kucheka wenyeweWana wasiwasi hadi wanatia huruma
Mchungaji Msigwa anapelekewa Pierre Liquid....... Hahahaaaa...... Msigwa ataomba poo CCM haitaki makubwa!utafanya mataga wajitapikie mipovu ya kijani.
Policcm hawapo Iringa...Wanaweweseka wanajitekenya na kucheka wenyewe
Zamani waliona ni kawaida, leo wanaona ni muujiza, hawajiamini hata kidogo.Wana wasiwasi hadi wanatia huruma
Wameshajua kuwa wao "losers" inabidi wakaririshe watu kuwa wanapendwaZamani waliona ni kawaida, leo wanaona ni muujiza, hawajiamini hata kidogo.
Poleni MATAGA!!!
Baada ya mapambano makali ya CCM na CHADEMA saizi ni muda wa kuangalia movie maana tuliweka wasiwasi kwenye kila kitu ili kuhakikisha CHADEMA inapata walau wabunge wawili kwenye uchaguzi wa 2020.. Kwa vulumai zilizopo Mbeya ni muda ya SUGU kusaidia CCM ipite bila kupigwa maana naye amekamilisha miaka 10…tume ingekuwa huru Magu anapigwa chini saa 4 asubuhi tu
Poleni MATAGA!!!