SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,430
- 23,752
Shida mmeshikiwa akili. Mnapelekwa kama Nyumbu.Total trophies mnazo ngapi mzee?
Kwenye list yenu mnaweka mabonanza ya mtani jembe. Are you serious? Mtani Jembe ni trophy???
Na hiyo ya FA kuweka Yanga kashinda kombe moja are you serious? Toka FA ilipoanza mwaka 74, Yanga kabeba mara moja? Mwaka 1975 alibeba nani? 1994? 1999? 2015?
Pathetic.