njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Katika muendeelezo wa series ya Haji VS HAJI mtifuano ni mkali unaendelea, sijui ni episode ya ngapi hii
tamthilia kali sana hii sema kwa sasa lazima wana yanga wampiganie sababu ni mfia team kindakindakishida ni kwamba video zake akiwa Simba anatoa shombo kwa Utopolo zipo nyingi sana zenye kujibu hoja zake za sasa akiwa Utopoloni huko.