Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,271
- Thread starter
- #181
ohooooo!!!Mtu asie na aibu ni tapeli
ohooooo!!!Mtu asie na aibu ni tapeli
😆😆😆😆Wewe taahira tu nakusamehe bure
Kwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
[/QUOTE
Hii clip nzuri
Wewe taahira tu nakusamehe bure
Usimjaribu Bwana Mungu wako. Kugombea Ubunge ni kushusha hadhi yako. Bwana kasikia maombi yako na kukuepusha na mambo ya ulimwengu ili uendelee kuwachunga kondoo wake.Nilisema huyo anajivua nguo mwenyewe kwa kiingia kwenye siasa.
Haya sasa, atajavuliwa na taulo aliyonayo
Kapitishwa kwa mlango wa uaniUsimjaribu Bwana Mungu wako. Kugombea Ubunge ni kushusha hadhi yako. Bwana kasikia maombi yako na kukuepusha na mambo ya ulimwengu ili uendelee kuwachunga kondoo wake.
Tena mazitoDunia ina mambo
Tena mazito
Hawa watu wanatuona wajinga sana !
Na zile Video za Kumtukana Askofu Pengo tutaziweka hadharaniKwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
tunazisubiri mkuu , wakati ni huuNa zile Video za Kumtukana Askofu Pengo tutaziweka hadharani
😆😆😆😆Gwajima hawezekaniki!
Gwajima is greatest