Uchaguzi 2020 Video: Gwajima ukiwa muongo usiwe msahaulifu, alisema Kuutaka Ubunge ni kujishusha chini

Gwajima nae Askofu hivi vyeo vya kujipa kama vile DONE, tabu sana hata hao waumini wake kawaloga nadhani akili jumlisha macho.

Kila anacho sema yy huwa hakitimii labda kucheza movie za pornography
 
Nilisema huyo anajivua nguo mwenyewe kwa kiingia kwenye siasa.

Haya sasa, atajavuliwa na taulo aliyonayo
Usimjaribu Bwana Mungu wako. Kugombea Ubunge ni kushusha hadhi yako. Bwana kasikia maombi yako na kukuepusha na mambo ya ulimwengu ili uendelee kuwachunga kondoo wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom