Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,365
- 33,004
Kwani umeambiwa huwa hanywi? Mtu anachanganya konyagi na kvantKwamba awe anakunywa konyagi?
Kwani umeambiwa huwa hanywi? Mtu anachanganya konyagi na kvantKwamba awe anakunywa konyagi?
Hili ni la kujiuliza?Kwahiyo Lema amebahatika?!
Hizi gloves za ngozi ni za nn? Yupo nchi ya baridi?Sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331
Hivi ukifa wewe mlalahoi mmoja utalitia hasara kiasi gani taifa?Vp tukimpoteza jemedari mkuu unafikiri kurudia uchaguzi ni hasara kiasi gani kwa taifa?Kifo cha Maalim Seif na Kijazi ndiyo kinakutisha sana? Vifo vingapi vimetokea kabla yao vimepita kimya kimya?
Corona ipo, lkn maisha yaendelee hivi hivi. Sasa unataka tufanye nn ili hali suluhisho la korona hakuna dunia nzima?
😆😆😆😆POLENI KWA MISIBA YA VIONGOZI....Pumbav nyie
mbona nilishakufa siku nyingi sanaKani watu kufa wameanza 2021? Hata wewe hapo ulipo huna muda mrefu jiandae.