Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,561
- 217,864
Ikumbukwe kwamba Leo Mh Mbowe ataongoza kikao cha Kamati ya utendaji ya Kanda ya Serengeti Mjini Shinyanga , Hivi ni vikao vinavyoendelea vya OPERESHENI HAKI vyenye lengo la kudai Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Sasa mapokezi yake ndio kama mnavyoona , siongezi chumvi.
Sasa mapokezi yake ndio kama mnavyoona , siongezi chumvi.