El Roi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 263
- 502
Nataka kudhani siyo ujanja ujanja,SEMA mabavu.Hiki chama kimeshakubalika kwa umma.
Bila ya ujanjaujanja wa CCM wangekuwa wamebaki kuwa historia
Nataka kudhani siyo ujanja ujanja,SEMA mabavu.Hiki chama kimeshakubalika kwa umma.
Bila ya ujanjaujanja wa CCM wangekuwa wamebaki kuwa historia
Utakuwa umekula maharage wew c bureHuu utapeli na wizi wa Mbowe ataacha lini yaani amtukane shujaaa wa Watanzania na ambaye ni msukuma ili yy mchaga apate umaarufu ukweli ni kwamba sisi wasukuma hatutaki wachaga matapeli kama Mbowe tutamalizana naye asituchezee huyu nyoka wa makengeza
Kama alivyokufa tu yule mzeeYaani Mwenyekiti anapokelewa na watu kiduchu hivyo!!? Kweli imeshakufa hii.
Kasome heading kule.Umeambiwa huo ni mkutano wa hadhara au mkutano wa wajumbe wa Kanda ya Serengeti?
Sawa mkuu jipe moyo.Hiki chama kimeshakubalika kwa umma.
Bila ya ujanjaujanja wa CCM wangekuwa wamebaki kuwa historia
Mungu yupi? Au Mjngu wako wa wachawi?Mungu ibariki CHADEMA
Saccos oyeee!!?Nusu ya kwanza ya jina lako imekufa ikaacha CHADEMA kama ilivyo ikuta!!
MAREHEMU MAGUFULI UPOYaani Mwenyekiti anapokelewa na watu kiduchu hivyo!!? Kweli Saccos imeshakufa hii.