Kama kawaida Chadema Raha sana.Mwenyekiti wa cdm amezidi kutikisa nchi akiwa anasimamia kufungua matawi na kuhimiza ujenzi wa ofisi za chama nchi mzima.
Hapa chini ni video akionekana kupokelewa kwa vifijo na bashasha na wananchi wenye mapenzi mema na nchi yao.View attachment 1801733
yamejaza chuki sana. Chuki ni sumu mwiliniNdiyo maana yanakatika haraka kama mapapai
Mwenyekiti wa cdm amezidi kutikisa nchi akiwa anasimamia kufungua matawi na kuhimiza ujenzi wa ofisi za chama nchi mzima.
Hapa chini ni video akionekana kupokelewa kwa vifijo na bashasha na wananchi wenye mapenzi mema na nchi yao.View attachment 1801733
Kimenuka !Mwenyekiti wa cdm amezidi kutikisa nchi akiwa anasimamia kufungua matawi na kuhimiza ujenzi wa ofisi za chama nchi mzima.
Hapa chini ni video akionekana kupokelewa kwa vifijo na bashasha na wananchi wenye mapenzi mema na nchi yao.View attachment 1801733
Mwenyekiti wa cdm amezidi kutikisa nchi akiwa anasimamia kufungua matawi na kuhimiza ujenzi wa ofisi za chama nchi mzima.
Hapa chini ni video akionekana kupokelewa kwa vifijo na bashasha na wananchi wenye mapenzi mema na nchi yao.View attachment 1801733
Nyie Mna Miaka 20 hata Ofisi za Makao Makuu kutunzia Nyaraka zenu hamna...Maccm YAMENUNA! 😂😂
Nyie Mna Miaka 20 hata Ofisi za Makao Makuu kutunzia Nyaraka zenu hamna...
ndio Mnajikongoja Kusema Mjenge ofisi za Chama Ukiangalia Hizo ofisi zenyewe ni Kama Nyumba tu za Kuishi wala hazina hata Ukumbi wa Mikutano...Sasa Jiangalieni Kwanza kabla ya Kusema CCM wananuna...
Mbona hajatafuta hata kiwanja tu cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chama? Anatembea huku mikoani ili ajilipe posho, hiyo pesa si angewekeza kwenye ujenzi wa ofisi ya makao makuu!Mwenyekiti wa cdm amezidi kutikisa nchi akiwa anasimamia kufungua matawi na kuhimiza ujenzi wa ofisi za chama nchi mzima.