Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

Warumi 13:1-3.
1.Kila mtu mtu na atii mamlaka iliyo kuu,kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu,na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.

2.Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu,nao washindanao watajipatia hukumu.

3.Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema,bali kwa sababu ya matendo mabaya.

Basi, wataka usimuogope mwenye mamlaka?Fanya mema nawe utapata sifa kwake...
 
Clip ya Dak 2:47 akiwa Oslo Forum anasimulia namna "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe" namna kilivyo piga bomu ofisi yake ya UWAKILI na kumjeruhi Tundu Lissu kwa risasi 16. Hatimaye Kinyago chenyewe kilinyauka mnamo 17/ 03/ 21
View attachment 2241890
Not sexism nor misogyny, but does she talk to her husband and their kids in the same hatred language?
 
Back
Top Bottom