Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanachanjwaMbona wakenya hawaji hapa
mzungu anaye comment kwenye hizi video yuko karibu na mwanasayansi wa kizungu kuliko wewe kilaza.usiyejua hata kipi kinaendelea maabara kuhusu corona.Utumwa utawatafuna waafrika hadi lini?Inatamausha sana kuona wenzetu wenye ngozi nyeusi wakijipiga vifua na kujiona keki, kisa vijimaneno na vijisifa kutoka kwa hawa ngozi nyeupe, almaarufu 'mabeberu', tena mitandaoni. Hivi majirani hamjiaminii na misimamo, kauli na sayansi yenu ya kiafrika na ya kipekee? Ile ya kuchanganya imani zenye asili ya dini za kuazimwa na hao hao mabeberu/waarabu pamoja na tiba za kitamaduni(maombi, kupiga nyungu mara kikombe cha babu). Hadi mwatizame wazungu, mkingoja kwa hamu wawasifie?Wazungu ambao labda ni mambumbumbu zaidi yenu na sio wataalamu ambao mnaweza mkabishana nao kitaalamu zaidi? Hoja kwa hoja, sayansi yao vs. sayansi yenu hewa hadi kieleweke? Hamna namna, muombeni msamaha aliyewaroga nyie majirani, bora yaishe, imekuwa too much sasa.
Utumwa utawaua jamani, hamna wanasayansi wenu wazawa ambao wanaweza wakaibuka na vitu vinavyoeleweka? Kupitia tafiti zinazoambatana na taaluma yao? Au unataka kusema kwamba maarifa na utaalamu wa kisayansi huwa yanaendana na weupe wa ngozi? Mbona hao Wazungu na wanasayansi wao unaowaaminia sana zaidi ya wale weusi wana misimamo tofauti na yenu ila huringi kuhusu hilo?Kando na haya maoni ya kiboya ya hawa wazungu mbumbumbu mitandaoni. Hebu nitajie mwanasayansi mmoja, awe mzungu au mweusi, au shirika lolote lile la kisayansi na utafiti ambao wameunga mkono hivyo vioja vyenu.mzungu anaye comment kwenye hizi video yuko karibu na mwanasayansi wa kizungu kuliko wewe kilaza.usiyejua hata kipi kinaendelea maabara kuhusu corona.
ukiona mzungu anajipa shughuli ya tanzania,ujue ya nchi yake kayajua yametosha.
kachanjwe upewe cheti.usijenyimwa kwenda ulaya.
Kweli nyani haoni kundu lake, nyinyi hamjioni maajabu yenu?Kenya imezungukwa na majirani wa ajabu kweli.
niliwahi/ pata kusoma gazeti moja humu jukwaani, mara ya kwanza sikuamini. lakini kadri siku zinavyozidi kusonga, sasa ndio napata taswira kamili ya hali halisi.Kweli nyani haoni kundu lake, nyinyi hamjioni maajabu yenu?
So what is the reality in kenya, are Kenyans observing Covid-19 precautions?Utumwa utawatafuna waafrika hadi lini?Inatamausha sana kuona wenzetu wenye ngozi nyeusi wakijipiga vifua na kujiona keki, kisa vijimaneno na vijisifa kutoka kwa hawa ngozi nyeupe, almaarufu 'mabeberu', tena mitandaoni. Hivi majirani hamjiaminii na misimamo, kauli na sayansi yenu ya kiafrika na ya kipekee? Ile ya kuchanganya imani zenye asili ya dini za kuazimwa na hao hao mabeberu/waarabu pamoja na tiba za kitamaduni(maombi, kupiga nyungu mara kikombe cha babu). Hadi mwatizame wazungu, mkingoja kwa hamu wawasifie?Wazungu ambao labda ni mambumbumbu zaidi yenu na sio wataalamu ambao mnaweza mkabishana nao kitaalamu zaidi? Hoja kwa hoja, sayansi yao vs. sayansi yenu hewa hadi kieleweke? Hamna namna, muombeni msamaha aliyewaroga nyie majirani, bora yaishe, imekuwa too much sasa.
Tunajiamini sana sisi watz siyo kama nyinyi wakenya wafuata upepo.Utumwa utawatafuna waafrika hadi lini?Inatamausha sana kuona wenzetu wenye ngozi nyeusi wakijipiga vifua na kujiona keki, kisa vijimaneno na vijisifa kutoka kwa hawa ngozi nyeupe, almaarufu 'mabeberu', tena mitandaoni. Hivi majirani hamjiaminii na misimamo, kauli na sayansi yenu ya kiafrika na ya kipekee? Ile ya kuchanganya imani zenye asili ya dini za kuazimwa na hao hao mabeberu/waarabu pamoja na tiba za kitamaduni(maombi, kupiga nyungu mara kikombe cha babu). Hadi mwatizame wazungu, mkingoja kwa hamu wawasifie?Wazungu ambao labda ni mambumbumbu zaidi yenu na sio wataalamu ambao mnaweza mkabishana nao kitaalamu zaidi? Hoja kwa hoja, sayansi yao vs. sayansi yenu hewa hadi kieleweke? Hamna namna, muombeni msamaha aliyewaroga nyie majirani, bora yaishe, imekuwa too much sasa.
Unasubiri waunge mkono wazungu! Umesoma ripoti ya Madaktari wenu wa RC wamesemaje kuhusu covidUtumwa utawaua jamani, hamna wanasayansi wenu wazawa ambao wanaweza wakaibuka na vitu vinavyoeleweka? Kupitia tafiti zinazoambatana na taaluma yao? Au unataka kusema kwamba maarifa na utaalamu wa kisayansi huwa yanaendana na weupe wa ngozi? Mbona hao Wazungu na wanasayansi wao unaowaaminia sana zaidi ya wale weusi wana misimamo tofauti na yenu ila huringi kuhusu hilo?Kando na haya maoni ya kiboya ya hawa wazungu mbumbumbu mitandaoni. Hebu nitajie mwanasayansi mmoja, awe mzungu au mweusi, au shirika lolote lile la kisayansi na utafiti ambao wameunga mkono hivyo vioja vyenu.
Nyinyi wehu sana nyinyi.Utumwa utawatafuna waafrika hadi lini?Inatamausha sana kuona wenzetu wenye ngozi nyeusi wakijipiga vifua na kujiona keki, kisa vijimaneno na vijisifa kutoka kwa hawa ngozi nyeupe, almaarufu 'mabeberu', tena mitandaoni. Hivi majirani hamjiaminii na misimamo, kauli na sayansi yenu ya kiafrika na ya kipekee? Ile ya kuchanganya imani zenye asili ya dini za kuazimwa na hao hao mabeberu/waarabu pamoja na tiba za kitamaduni(maombi, kupiga nyungu mara kikombe cha babu). Hadi mwatizame wazungu, mkingoja kwa hamu wawasifie?Wazungu ambao labda ni mambumbumbu zaidi yenu na sio wataalamu ambao mnaweza mkabishana nao kitaalamu zaidi? Hoja kwa hoja, sayansi yao vs. sayansi yenu hewa hadi kieleweke? Hamna namna, muombeni msamaha aliyewaroga nyie majirani, bora yaishe, imekuwa too much sasa.
Tuna majirani wendawazimu sio mzaha, jamaa wameshaanza kufunga 'mashine' za kupiga nyungu hadi kwenye hospitali. Alafu wasomi na wataalamu wa afya wapo wapo tu wakikenua kenua kwa uoga. Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tuKenya imezungukwa na majirani wa ajabu kweli.