Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,756
Huwezi kuamini huyu muongeaji aliwahi kujiita mpigania uhuru akiitaka Tanzania iwasaidie Waganda kumtoa dikteta nduli Iddi Amin Dada. Kwa kasi ya idadi ya hivi ving'ang'anizi inavyoongezeka hapa Afrika Mashariki, je sisi Watanzania tujifunze nini?