MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,756
- 48,401
- Thread starter
- #21
Kenya Mnatakiwa Mjifunze Siasa Bora Kwa Tanzania
Duh! Tujifunze siasa zenu hizo za kulazimisha kura kwa Kisukuma, unawatisha watu kwa kilugha na kuwaambia hawatapata maendeleo wakichagua upinzani, nyie katiba mpya ndio itawaokoa, sema nayo ni balaa maana mlishakaa mkao usioeleweka kwamba hamuwezi kuandika katiba nzuri bila mafarakano, mlijaribu kipindi cha Kikwete mkaishia kuangukia pua.
Suala la serikali ziwe tatu au mbili lilionyesha namna gani hampo tayari, liliibua hisia za kiajabu ajabu.