jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Ile kama ilirekodiwa waiweke hapa ikate mzizi wa hawa wapambe wa wauwaji humu ndani.Asante invisible. Nashauri pia tuwekee na ile AC Msangi anaambiwa arudishe simu na waleti.
Ile kama ilirekodiwa waiweke hapa ikate mzizi wa hawa wapambe wa wauwaji humu ndani.Asante invisible. Nashauri pia tuwekee na ile AC Msangi anaambiwa arudishe simu na waleti.
Mkuu kabla sijaona video ya jinsi walivyomjeruhi na maelezo yake, nilikuwa pia nikidhani kuwa hakuwa na nia ya kumwua, lakini ukweli ni kwamba walitaka afe akiteseka zaidi, na pengine ndo maana hakwakumpiga risasi.Huyu sidhani kama walikuwa na nia ya kumwona akiwa hai tena, sidhani.
Invisible namuamini sana! Lakini hii kitu mbona imechelewa sana?
Tunaweka FULL version (21min); hii ya 3min tulitaka hata wanaotumia simu wapate; then in this case, itabidi tuiweke nzimanzima na mkiwa kwenye PC mtaangalia kwa uzuri zaidi.Simu yangu naiamini sana lkn clip aifunguki ntaonaje au niende youtube
Mkuu inawezekana something went wrong kwenye plan nzima ndo maana machoni petu inaoenekana kama ni "amateur means"OK tuchukulie you are right... ni kwanini watumia amateur means? sababu uwezo wakumaliza kimafia ambayo hai draw attention zipo. .
Mkuu,Invisible namuamini sana! Lakini hii kitu mbona imechelewa sana?
Tunaweka FULL version (21min); hii ya 3min tulitaka hata wanaotumia simu wapate; then in this case, itabidi tuiweke nzimanzima na mkiwa kwenye PC mtaangalia kwa uzuri zaidi.
Tunaweka FULL version (21min); hii ya 3min tulitaka hata wanaotumia simu wapate; then in this case, itabidi tuiweke nzimanzima na mkiwa kwenye PC mtaangalia kwa uzuri zaidi.
Tunaweka FULL version (21min); hii ya 3min tulitaka hata wanaotumia simu wapate; then in this case, itabidi tuiweke nzimanzima na mkiwa kwenye PC mtaangalia kwa uzuri zaidi.
Tumeweka access kwa devices zote, na tumeruhusu watu kuweza ku-embed kwenye tovuti zao ili kusambaza ujumbe. Hakuna watermark!
Unatumia PC?
Tunaweka FULL version (21min); hii ya 3min tulitaka hata wanaotumia simu wapate; then in this case, itabidi tuiweke nzimanzima na mkiwa kwenye PC mtaangalia kwa uzuri zaidi.
Tunaweka FULL version (21min).
palalisote said:Asante invisible. Nashauri pia tuwekee na ile AC Msangi anaambiwa arudishe simu na waleti.
Mkuu,
Timing ni muhimu; kwa wakati huo kila media iliandika cha kwake. Mengi yamesemwa, hata hivyo tunabadilisha video; tunawapa full version ambapo kaongea kwa kirefu (21min) na labda kuna mtakachopata cha kueleweka.
Nadhani ni wakati muafaka bado. Maana videos zaidi zinakuja...