BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,987
- 2,009
serikalini wapo wataalamu wa digital forensics lete mkanda original tujue kama haujawa doctored kukidhi matakwa yenu, hata mtoto wangu anaweza ku-edit mkanda akaweka sauti ya nyani dume, mnao mkanda orginal uwasilisheni kwa kamanda kova unafanyiwa forensics analysis kujua kama hayo yaliomo humo ya ulimboka, mara ngapi hapa zinatolewa sauti ya usama na inathibitishwa sio sauti yake, acha kushabikia usilolijua au utaalamu nalo huo mkanda tu kama mkanda mwengine na kwa taarifa yako haukubaliki mahakamani kama sehemu ya vielelezo ikibidi.
kapige mswaki kwanza