bright platnumz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,740
- 3,659
chekini iyo link
chekini iyo link
Hivi mbeya amekwenda huyu star wenu?Hapana mkuu sijarudi bado. Naangalia online, kwa kweli huyu kijana kwa Nchi jirani za wenzetu ni zaidi ya star.!
Mbeya! Wako kwanza kwenye Upinzani wa kila kitu wanaamini wanajua na wana uelewa wa kila jambo. Hivyo huenda wameachwa kwanza wakae sawa.!Hivi mbeya amekwenda huyu star wenu?
Ha ha mamaye iyo ndio sumbawanga, nasikia jana ilipiga mvua diamond hakupanda, hapo wachawi wanatest mitambo yao, kwa nini hakuligundua hilo jana?wachawi hawana sababu maalumu kufanya yao