Video: Daktari Elisha Osati aeleza hali ya Corona nchini. Asisitiza watu kuchukua tahadhari

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,813
4,545

Daktari Elisha Osati akiwa kipindi cha Mtazamo cha Clouds Plus ameeleza hali ya Virusi vya Corona ilivyo nchini pamoja na uchukuaji wa tahadhari.

Akijibu swali la Mtangazaji wa kipindi hicho lililomtaka kutoa tathmini ya hali ya Corona nchini Daktari Elisha alisema:

"Hili swali uliloniuliza lipo very tricky kulingana na wakati huu tulionao lakini ukweli ni kwamba tumekuwa tukiwahudumia Wagonjwa hawa wenye matatizo ya moyo, figo, damu kila mwaka. Tunachokiona kwa sasa ni tofauti ndio maana hatuwezi kukaa tukasubiri tutalaumiwa siku moja kwamba hatukufanya sehemu yetu."

Anaendelea, "Unajua debate imekuwa hapa nchini kwetu ugonjwa upo ama haupo na wakati tunaendelea kubishana hatuwaambii watu wachukue hatua muda huo watu wanaendelea kuambukizana until juzi nimeona kwenye Mwendokasi wametoa tamko. Tunamshukuru Mh. Rais juzi kanisani alisema ugonjwa upo ili watu wachukue tahadhari"

Kwahiyo, bado hatujachelewa, we need to focus kwenye kuwatibu hawa waliopo na kuwakinga wengine especially kwenye mambo ya chanjo lakini watu waendelee kuchukua tahadhari. Barako ni very important hususani unapoenda kwenye watu wengi kunawa kila wakati na kutumia sanitizers.
 
Hapo rais mstaafu wa chama cha madaktari Tanzania umeongea kama mtaalamu hasa.
Biography
Dr. Elisha Osati Biography Dr. Elisha Osati is Internal Medicine Physician at Muhimbili National Hospital (MNH). He holds a degree of Doctor Medicine (MD) from Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) and Masters of Medicine in Internal Medicine (Mmed. Internal Medicine) from the same University. His areas of interest are in Hematology and blood transfusion, cardiology and Infectious disease and global health. Dr. Osati is currently a President of the Medical Association of Tanzania (MAT). Before him becoming a President he held a post of President-Elect of MAT for the past two years (2016 to 2018). He is also an Alumni of Young Physician Leaders programme of 2018. He has been involved in different conferences, seminars and workshops in health sector in Tanzania and Africa at large. He has been a chairperson of the Organizing committee of MAT National Health Conferences in 2016, 2017 and 2018. National Health Conference is the think tank of the Ministry of Health, community development, Gender, Elderly and Children of Tanzania and President Office Regional Administration and Local Government Authorities division of Health. Elisha Osati
 
Sasa tunasubiri Rais wa MAT nae atoe maoni ili wafanyakazi ktk sekta ya afya na wananchi kwa ujumla wasikie wataalamu wanasemaje maana wanasiasa wameshasema sana hata ma mayor wa halmashauri tayari wametoa maoni yao kama wanasiasa ila wataalamu wa utabibu wa binadamu hawataki kujitokeza kutuelimisha na kushawishi wanasiasa mkakati wa kisayansi ni upi.

drshadrack.jpg


Dr. Shadrack Mwaibambe
President

Dr. Shadrack Schock Mwaibambe is currently a President of Medical Association of Tanzania(MAT) since 2020. Prior to this post, He was a President of Tanzania Orthopaedic Association from 2016 to 2018. Apart from Association responsibilities, Dr. Shadrack is an Orthopaedic Surgeon, Super-specialized in Spine Surgery working at Muhimbili Orthopaedic Institute. He earn Bachelor in Doctor of Medicine at University of Dar es salaam (2006), Masters in Orthopaedic and Traumatology at Muhimbili University of Health and Allied Science (2012), SICOT Fellow in complex spine surgery at Assiut University – Egypt (2014) and holder of Masters in Business Administration and corporate management (MBA) at Mzumbe University(2017). He is committed to professionalism,work transparently and firm in issues
Source : MAT | Karibu MAT, The Medical Association of Tanzania
 
Back
Top Bottom