SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Kwa sasa naanza kuwa na mawazo kuwa hata hizi propandaza kuwa Chadema ni chama cha ukabila,udini na ukanda ni mkakati unaofadhiliwa na Zitto ili kuisambaratisha Chadema ili akimaliza kazi hiyo aende CCM alikoahidiwa urais na baba mkwe wake baba Mwana asha.Ndoto yake ni kuwa rais kupitia CCM.