PweintiKwa mtu ambae ni mgeni haina shida mwenye shida ni wewe uliecheka huku ukijua mzungumzaji amekosea kutokana na lugha kumpiga chenga.
HatarChama cha mambuzi ndio walikua na mgeni wao kutoka ethiopia
Kuna wakati mambo hufanyika kwa bahati mbaya lakini yakaashiria uhalisia.Kwa mtu ambae ni mgeni haina shida mwenye shida ni wewe uliecheka huku ukijua mzungumzaji amekosea kutokana na lugha kumpiga chenga.
Mbona Kiko legelege na ushindi wake kila mtu anakuwa ni wizi kwa usimamizi wa polisi na kuvamia wapinzani njiani wanapojuwa wanarudisha form. Mfano ni Devota Minja aliyetekwa na police waliotumwa na Abood morogoro.Chama cha mambuzi hakiwezi kuwa strong namna hii kingeshaliwa na mbwa mwitu. Huyo jamaa amekosea tu kutokana na kutokuwa mzungumzaji wa kiswahili
Chama Cha MeeeeYupo sahihi kabisa, hainaga bahati mbaya.