Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
Mkuu

Dini zimejengwa na hao hao imperfect wanadamu...

Zinaongozwa na hao hao imperfect wanadamu...

Then ni stupendously moronically wrong kusema eti unaweza pata PERFECT system kutoka kwa IMPERFECT people who made and run it...

The system is wrong,the people who made them and who run them put together are all wrong and imperfect!

Plus,The God you are making a system for is impefect and even do not exist at all!
Ko mkuu hakuna Mungu et, tumeshikishwa masikio 😁😁😁😁 Hoja yako inafikirisha sana
 
Kuna Video zinasambaa zinazodaiwa ni za Askofu mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima

Hakuna binadamu aliyekamilika. Watu wengi wanafikiria kuwa mtu akiwa mtumishi wa Mungu au akiwa na vyeo vyovyote vya utakatifu basi hufikiri mtu huyo hatendi dhambi kama binadamu wengine, lakini ukweli ni kwamba wengi wao huwa na madhambi ya kutisha zaidi pengine kuliko hata wapagani ambao hawamjui Mungu , vitabu vitakatifu vinatufundisha kuwa tusijaji tusije tukahukumiwa.

Hao Hao wanaojiita wachungaji na watumishi , wengi wao wanafanya dhambi za kutisha.

Ukiacha nguvu za Giza anazotumiwa kushiriki Mchungaji gwajima, Leo kakwaa skendo nzito ya kufanya mapenzi na kujitecord akiwa kitandani akifanya uzinzi na mwanamke asiyejulikana.


Kweli Mungu wa makonda anajibu kwa wakati, huyu baba alijua kumtukana na kumdhihaki makonda, Leo uchafu wake wote uko nje, sijui ataweka wapi sura yake .

Ikumbukwe juzi juzi tu walipatana na makonda na kukumbatiana, ama kweli dunia hadaa na walimwengu shujaaView attachment 1090460


uzi wako umeruka vizuri ila umetua vibaya mungu gani anajibu maombi ya watu waliofoji cheti
 
Naomba iwe ni utani. Ni aibu mtu wa JF kuamini kwamba Gwajima atampeleka Mbinguni. Yaani bado kuna watu wanaamini kuna dalali wa kuwapeleka Mbinguni! Mbinguni njia ni nyeupe kwa kila mtu. Watu kama hawa mukiendelea kuwachekea na kusema amen, wataanza kuwalawiti kabla hamjafika Mbinguni.
Ni kweli,Na pia huwa nawashangaa viumbe wanaosema sijui Fulani ni chaguo la Mungu,,,huwa nawaona maboya tu maana kila mwanadamu ni chaguo la Mungu ndio maana akapewa uhai!!!!Namna utakavyoitumia pumzi uliyopewa ndio hapo
 
Hao pimbi wanaoshangilia hapo hawajui kama hiyo ni team work,wote wapo kazini.Gwajima amemuuliza mwanamke wewe unaonaje? miradi yetu isimame kwa sababu ya kivideo ambacho kimeeditiwa huko?siyo mimi,kweli mama nanii siyo mimi akajiapiza apiza uwongo na kweli na kwa sababu anajua mwanamke hana analolijua kuhusu technology jamaa akamwachia mtihani aamue.

Ukichukulia mwanamke mwenyewe anaonekana njaa kali bila nguzo yake Gwajima mambo town hayataenda akaona akubali kukaa upande wa mumewe.
Wewe una ushahidi gani kama ni aunthetic?Iliwahi kutengenezwa audio ya Mbowe na Wema,wajinga kama wewe mkakimbilia kuamini!!!!Watengenezaji wakaumbuka walivyoitengeneza !So kuwa na akiba maneno!
 
Angalia vitu bila kuwa biased,utafurahia maisha..my dear...uko sahihi usichezee technology,expert in technology can make things believable...na kama huangalii vitu kwa open mind lazima u fall kwenye mitego ya shetani,,, this is shetani at work! Nothing else!
Delusional. Good day madam
 
Mbali na matatajio ya wengi tulivyotarajia kuwa Gwajiboy angekiri kuwa ile kideo ilikuwa yake na pengine angeomba msamaha, ajiuzulu au kuelezea ilivuja vipi. Gwajiboy akachomoa kama walivyochomoa Liverpool dhidi ya Barca just.

Swali Je, Editing na tekinolojia anayodai gwajiboy ipo na inawezekana.
Jibu, ni ndio Kuna teknolojia inaitwa AI (artificial intelligence) na 3D printing inaweza kuedit video hizo.
Tayari 3D na AI ishafanya kile anachodai baba askofu kuwa want edit.
Tazama hapa kuona baadhi ya video za editing Alizofanyiwa Barack Obama.

Nyingine hii


Alichotakiwa kufanya Baba Askofu ni kutuletea video origino ambayo inaonyesha mhusika wa tukio. Sio yeye kuleta porojo za bausa na kuzidi kujishushia hadhi yake.

Kufahamu kidogo kuhusu AI na 3D Soma Uzi wa kijana wa forex kuhusu utabiri wake. https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1379798/
 
Nimeiangalia hiyo video ya gwajima kwa umakini Sana na mara nyingi na kufananisha na gwajima
Gwajima simchukii namuheshimu sana kama ninavyowaheshimu watumishi wote wa MUNGU
Gwajima kama binadamu siyo mkamilifu anaweza kujikwa na akuanza yeye, mfalme Daudi naye alijikwaa akaanguka lkn alijuta na kutubu kuna usemi unasema ukiwaunaoga mtoni akajaa chizi akachukua nguo zako busara ni kuchutama na sio Kumfukuza
Ukiangalia hiyo video kwa makini. .embu Angalia kopi za macho ziko nusu Kama zake angalia umbo la kichwa cha gwajima angalia unyoaji wa nywele pamoja na ndevu style ya U.. Angalia umbo la pua na sikio yote yanafanana
Wale wote wanaodai kuwa video imeeditiwa wanakosa mashiko kwa maana kwamba mwili na kichwa vyote vinafanya mapenzi
Na wala wanaodai kuwa gwajima hawezi jirekod wakati anafanya mapenzi hawajui wakati huo mch alikuwa na Hali gani unajua pombe au mihemuko ya mapenzi inavyopunguza umakini. Wako watu wengi waliojirekodi baadae wakajuta
Mwisho tunataka watu wanaosema sio yeye waje na hoja nzito na zinazoelewrka na kukubalika
 
Kuna andiko linasema
Wanaofanya matemdo yao kwenye Giza yatabainishwa kwenye Nuru.
Mungua ameamua kuonesha unafki wa mtumishi feki Gwajima.
Katika hii video, Ushahidi mkubwa upo kwenye kichwa na alama za kiganja.
Sura na Staili ya kunyoa ndevu ni ya Gwajima.
Kwa wale walioko karibu na Gwajima wamwambie awaonesha alama za mistari ya kiganja chake cha mkono wa kulia, halafu walinganishe na za mistali us kiganja chake halisi cha mkono wa kulia.
Watagundua kuwa zinafanana sana.
Umbo pia ni la Gwajima. Umbo dogodogo na kakamavu.
Rangi ya mwili pia ni ya Gwajima, rangi nyeusi.
Sauti najua mkewe ndio anaifahamu zaidi.
Hasa ya wakati wa tendo.
Hatumlalamikii Gwajima kama kumhukumu hapana.
Bali tunamlalamikia kwakuwa karibu kila wakati anakabiliwa na tuhuma za kutenda dhambi za kukusudia.
Tuhuma ambao kutokana na Biblia Takatifu hazimstahili mtu mwenye Cheo cha,
Askofu.
 
Mbona nimeangalia ile video ni safi tu haina uchafu wowote?
Af wote nafikiri walitoka kuoga.
Labda quality ya video sio 1080
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom