Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,633
- 218,063
Ndani ya haka kajengo si wanapiga bomu moja tu....hahahaaaaa Yaani ccm kazi wanayo.Hakika kulikuwa na ulazima wa kumkamata Mwakajoka , Kama hali ni hii ni bora siasa zipigwe marufuku
Hakika kulikuwa na ulazima wa kumkamata Mwakajoka tena kwa kesi ya kutunga hata ya miaka 10 iliyopita , Kama hali ni hii ni bora siasa zipigwe marufuku
Chief umei attach vibaya kwenye techno zetu haifunguki
Unanikumbusha Prof Tibaijuka!!Haya mambo huwa yako namna hiyo, ukibana sana ndo na watu wanataka sana.
Hapana umekosea, ukitanua sana ndiyo watu wanatamani, kama unabisha kamuulize mama wa milioni 10 za mbogaHaya mambo huwa yako namna hiyo, ukibana sana ndo na watu wanataka sana.
Hawajui km amesha waharibia ''time has already told'' hakuna cha ''time will tell''CCM wako bize na ujinga wa musiba
Wanajua ila wanaogopa kumgusa wanajua analindwa na jiweHawajui km amesha waharibia ''time has already told''
mbona iko fresh tu mkuu , hebu cheki bando mjombaChief umei attach vibaya kwenye techno zetu haifunguki
ngoja nikuonjeshe pichaChief umei attach vibaya kwenye techno zetu haifunguki
Maji yakimwagika hayazolekiWanajua ila wanaogopa kumgusa wanajua analindwa na jiwe
Hapana umekosea, ukitanua sana ndiyo watu wanatamani, kama unabisha kamuulize mama wa milioni 10 za mboga
Hakika kulikuwa na ulazima wa kumkamata Mwakajoka tena kwa kesi ya kutunga hata ya miaka 10 iliyopita , Kama hali ni hii ni bora siasa zipigwe marufukuView attachment 1152035