Msemaji amekumbusha enzi za miaka ya 70 ambapo wapenda maendeleo walikuwa wanapotea au kuuawa kiaina. Mimi nakumbuka zaidienzi za Iddi Amini ambapo wapinzani wake walikuwa wanapotea na baadae kugunduliwa wamekufa. Yuko wapi yeye naye sasa???
Ya kweli hayo? Hata kama ni kweli, lakini walikofikia upande wa pili basi itaendelea kuwatafuna na pengine mwisho wake utatuingiza kwenye gharama kubwa zaidi.Ulimboka ni part ya ile Consipiracy ya NORTH! Waache wamlilie!
Ulimboka ni part ya ile Consipiracy ya NORTH! Waache wamlilie!