chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Nilipokuwa mdogo nilikuwa nasikiliza sana nyimbo za Bob Marley bila ya kufahamu maana ya nyimbo na ujumbe wa nyimbo zake kwasababu nilikuwa sijui kingereza..
Leo hii nimeingia kwenye Youtube na kusikiliza hili album lake "Survival" kwa kweli nimeshangaa yale niliyoyasikia katika nyimbo zake,huyu jamaa naona alikuwa mtume
Bob Marley ni mtu ambae ninaweza kumuweka katika jumuia ya Watu kama akina Muhamad,Yesu...
Tafadhali poteza muda wako na usikilize mahubiri ya Bob Marley,na nini anabashiri,na nini kinatokea katika hizi zana za "Digital Technology" kama Bob Marley alivyobashiri...
Leo hii nimeingia kwenye Youtube na kusikiliza hili album lake "Survival" kwa kweli nimeshangaa yale niliyoyasikia katika nyimbo zake,huyu jamaa naona alikuwa mtume
Bob Marley ni mtu ambae ninaweza kumuweka katika jumuia ya Watu kama akina Muhamad,Yesu...
Tafadhali poteza muda wako na usikilize mahubiri ya Bob Marley,na nini anabashiri,na nini kinatokea katika hizi zana za "Digital Technology" kama Bob Marley alivyobashiri...