playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
Nahis me ntakuwa Msudan mbona me namuelewa tena sana tu na ni MTZ...alokwambia kuskika nje hadi ufanye kolabo nani?...Fanya kazi nzuri ipeleke sokoni...wimbo Wa AJE ulichukua tuzo karibu 13 na alifanya peke yake,afanye tu kwa kuwa labda mnapenda kuskia akifanya international collaboration bt si kigezo saana cha kujitanua..Ali ana platforms kubwa sana angetwist mziki wake kukamata soko la nje ya Tz kwa kufanya kollabo angeongeza mashabiki na angekuwa mbali sema ni mvivu asiyejichanganya na anayefanya vitu vyake mwenyewe.Kabaki kuimbia watz tu na watz wenyewe wameanza kutokumuelewa. Ali kama una pita huku changamka bhn.
Sent using Jamii Forums mobile app