flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Upo Sawa mkuu namimi nimekuelewa sanaaaaNi kweli Ali Kiba hapaswi kulinganishwa na Diamond, na hii ni simply tu kwakuwa mahadhi ya nyimbo zao hayafanani hata kidogo.
Uyo Ali hata kama hamfikii Diamond kwa uwezo kama mnavyompima bado ana flavour zake, words art ya kivyake na ana mashabiki wake wanaovutiwa na hiyo style yake na sio kwamba eti ni msanii aliyenyongorota kama msiompenda mnavyowish.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app