PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
Balozi wa Ufaransa nchini juzi aliwaacha hoi wafanyakazi wa shirika la msalaba mwekundu Tanzania na katibu mkuu wa shirika hilo Alhaj Adam Kimbisa kwa kutoa risala yake kwa lugha ya kiswahili tena kile kilichonyooka ile kinoma...wakati akikabidhi msaada wa waathirika wa mafuriko Kilosa mkoani Morogoro .
Kilichosikitisha wengi ni Mwenyeji wake ambaye ni katibu mkuu wa shirika hilo Alhaj Adam Kimbisa...yeye aliongea kwa lugha ya kiingereza.
Je kwa style hii kiingereza cha nini kwa hotuba zinazotuhusu wabongo??
fungua hii link kwenye browser yako uone video..
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=Eg1UrtU2YSE&feature=player_embedded"]http://www.youtube.com/watch?v=Eg1UrtU2YSE&feature=player_embedded[/ame]
source: darhotwire.com
Kilichosikitisha wengi ni Mwenyeji wake ambaye ni katibu mkuu wa shirika hilo Alhaj Adam Kimbisa...yeye aliongea kwa lugha ya kiingereza.
Je kwa style hii kiingereza cha nini kwa hotuba zinazotuhusu wabongo??
fungua hii link kwenye browser yako uone video..
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=Eg1UrtU2YSE&feature=player_embedded"]http://www.youtube.com/watch?v=Eg1UrtU2YSE&feature=player_embedded[/ame]
source: darhotwire.com