Video: Baada ya Assad kukimbia nchi, waasi watua kwenye kasri lake la kifahari na kuanza kusheherekea

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,149
3,088
Wakuu,

Muda mfupi baada ya kuthibitisha kuwa waasi wamemtoa Assad madarakani na Rais huyu kukimbia nchi, video za waasi wakiwa ndani ya kasri lake zimeanza kuibuka.

Huyu jamaa alikuwa anakula maisha kweli kweli na pengine ndo maana walikuwa wanataka kumtoa.

Video hizi zinasambaa sana X zikionesha ukubwa na ufahari wa jumba lake ilhali wananchi wake wakiwa wanateseka na njaa na magonjwa lukuki.

Video nyingine pia zimeonesha silaha nyingi zilizokuwemo kwenye kasri lake la kifahari.

Hapa Afrika kuna spika wa Bunge fulani alishawahi kuonesha jumba lake la kifahari. Kwa sasa watu wanaweza kujifanya hawaoni hilo kasri lake lakin mambo yakishaharibika watu watapita hapo kutuma salamu.











 
Kwahiyo kwa sasa kwenye hilo jumba ataishi nani sasa? Wataishi hao waasi au wataenda kuchukua masikin mitaan na kuwaleta waishi hapo?
Inasemekana Turkey ☪ itawasaidia mambo ya kitaalamu ya utawala na utawala wa sheria ili kuepuka Chaos katika Taifa la Syria iliyokombolewa.
 
Wakuu,

Muda mfupi baada ya kuthibitisha kuwa waasi wamemtoa Assad madarakani na Rais huyu kukimbia nchi, video za waasi wakiwa ndani ya kasri lake zimeanza kuibuka.

Huyu jamaa alikuwa anakula maisha kweli kweli na pengine ndo maana walikuwa wanataka kumtoa.

Video hizi zinasambaa sana X zikionesha ukubwa na ufahari wa jumba lake ilhali wananchi wake wakiwa wanateseka na njaa na magonjwa lukuki.

Video nyingine pia zimeonesha silaha nyingi zilizokuwemo kwenye kasri lake la kifahari.

Hapa Afrika kuna spika wa Bunge fulani alishawahi kuonesha jumba lake la kifahari. Kwa sasa watu wanaweza kujifanya hawaoni hilo kasri lake lakin mambo yakishaharibika watu watapita hapo kutuma salamu.



US, France, Israel, UK na Turkey ndiyo wanaitwa "Allah Wakubaru"?
 
Naomba Mungu anipe uhai nishuhudie siku chama cha mapinduzi kikidhalilishwa na wananchi.
"Spark" itakuwa ni Uchaguzi Mkuu ujao ninajua tu wataiba Kura.

Lakini na sisi Wapinzani pia tujipange kama alivyosema Mzee Warioba.
 
Kwahiyo kwa sasa kwenye hilo jumba ataishi nani sasa? Wataishi hao waasi au wataenda kuchukua masikin mitaan na kuwaleta waishi hapo?
Yaani sasa ndio mambo yatakuwa mabaya zaidi
Makundi yataanza kuota kama uyoga
Watauwana sana Kama ya Libya, Lebanon, na hata Syria hii
Baada ya haya ni mapigano tu
Hawa wanaitwa waasi hawatajipanga kuwapa maisha mema wananchi
Hilo kasri watalisafisha lote libake jengo tu
 
Alikuwa na Super Power akiwa anamlinda; iliishia wapi? Juzi tu (in fact wiki iliyopita tu) Assad alikuwa MOCKBA kuomba msaada zaidi wa ulinzi. Yaani alikwenda kuomba msaada wa kijeshi kwa mtu anayeomba msaada wa kijeshi kutoka North Korea!
 
Acha kukatisha watu tamaa.
Yaani mie nisio na akili muumwa ukimwi niwakatishe nyie tamaaa🤣🤣🤣 basi nyie mtakuwa wajinga kupia mie🤣🤣🤣🤣

Wabongo tuache maneno tuwe watu wa vitendo. Many a times tulikuwa na opportunity but we did not take action.
Wacha wenye uthubutu wakupay the ultimate price in life wapate hayo mapinduzi. Sie tunywe bia, tugegedua e na tushabikie simba na yanga. Thats our life and we shuld enjoy.
 
Can't imagine that just yesterday I told someone that they will be at the outskirts of Damascus in a week.
 
Back
Top Bottom