Wale walioshangilia ni binadamu siyo " watu"!Nimesikitika na kuhuzunika sana nilijaribu kuwa ktk viatu vya huyu mkuu wa idara wallah imenisononesha. Inawezekana kuna majibu mazuri angeweza kuwa nayo na pengine ni mtendaji mzuri aliekosa kueleza anayoyataka muheshimiwa. Najua kuna uwezekano mkubwa wa huyu mkuu wa idara kukosea data lkn haikupasa afanyiwe haya. Tunao utaratibu maalum wa kushughulikia mambo kama haya. Hivi tujiulize kama mkuu wa mkoa angewapa nafasi ya kumpa data kamili ingeharibu nini. Kisha nashindwa kuelewa hivi kila lalamiko ni mgogoro? Maana kama nimesikia vizuri mkuu wa idara kaulizwa kuhusu Migogoro na si malalamiko ambayo mkuu wa mkoa anatakwimu zake. All in all RC hakuitendea haki nafasi yake. Hakuthamini thamani ya utu wa mtu kwani hata pale mtu alipoanguka bila kujua amepata athari kwa kiasi gani aliimba nyimbo kuonesha alichokifanya yuko sahihi. Wananchi pia wamenifedhehesha sana wakati mtu ameanguka akipigania uhai wake watu wamekosa ubinaadamu wakaanza kushangilia... Upo wapi upendo wetu....
Kama unaamini wewe ni msomi na bado unaendelea kuongozwa na mtu unayeamini siyo msomi na anakidharirisha basi wewe ndiyo mjinga kwanini usijiajiri??Wenzako wamesoma kwa bidii , wewe unawatumbua....... Ni vyema kukumbuka vyeo vya kisiasa ni vya msimu, kwa hiyo busara na hekima inatakiwa kutumika ili kutatua kero za wananchi na wala sio vyema kucheza na majukwaa.
Ni afisa Utamaduni pale bomani!Hivi jery bado mtangazaji wa tbc au anafanyia kazi ofisi ya mkuu wa mkoa mwenye uelewa wa hili plz.
Afu nasikia amepondea mahakama kuwa "mahakama zinajifanya hazitaki kuguswa kwa kisingizio cha kuwa mhimili mwingine, zimechukua nafasi ya Mungu na yeye ni mteule wa Mungu hivyo lazima aziseme"Afu anajifanya eti yeye ni mcha Mungu aliyetukuka...
Tangu huyu jamaa awe RC nimeamini uchawi haupo,, yaani wote wanaomchukia jamaa hakuna mwenye uwezo wa kumloga akawa hata chizi??Hv bashite harogeki
. Najua kuna uwezekano mkubwa wa huyu mkuu wa idara kukosea data.
Watoto huiga tabia za wazazi wao, kaiga ya babake kule BukobaNimejisikia vibaya sana kuona hili tukio, na huyo mkuu wa Idara anaonyesha ni mchapa kazi. Hata kama kateleza hakustahili kupewa aibu hii.
Huyu Dogo anapaswa kupimwa akili asee...Afu nasikia amepondea mahakama kuwa "mahakama zinajifanya hazitaki kuguswa kwa kisingizio cha kuwa mhimili mwingine, zimechukua nafasi ya Mungu na yeye ni mteule wa Mungu hivyo lazima aziseme"