njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Kwanza hongereni sana kwa kuleta revolution ya tv hapa bongo. Soka mmefanikiwa, bongo movies pia naona mnakomaa na ndondi pia mmeamua kutuletea.
Ila dah ndugu zangu kilichotokea Dodoma kwa Dulla Mbabe ni uhuni. Ni kama vile mnashirikiana na matapeli kuokota walevi mnawaleta hapa waje wapigane wachukue hela tu!
Yaani mwezi mzima mna-hype pambano bila hata kuangalia backgrounds za hao wapiganaji. Kweli Mwakinyo alikuwa sahihi alivyosema kuna watu wanapigana na walevi toka nje ya nchi.
Hebu angalia knockout ya Dullah Mbabe, ngumi ya bega moja tu mkenya chali keshachukua hela yake.
Ila dah ndugu zangu kilichotokea Dodoma kwa Dulla Mbabe ni uhuni. Ni kama vile mnashirikiana na matapeli kuokota walevi mnawaleta hapa waje wapigane wachukue hela tu!
Yaani mwezi mzima mna-hype pambano bila hata kuangalia backgrounds za hao wapiganaji. Kweli Mwakinyo alikuwa sahihi alivyosema kuna watu wanapigana na walevi toka nje ya nchi.
Hebu angalia knockout ya Dullah Mbabe, ngumi ya bega moja tu mkenya chali keshachukua hela yake.